Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante hata wewe ni beautiful japo sijakuona(but I'm pretty sure you're beautiful and gorgeous in your own way) na kuhusu chotara I don't know
ngoja ntamuuliza bi mkubwa
halafu ntakujibu kesho (joking)
Mkuu mimi siyo byurifuπŸ˜ƒ
Nimependa uko handsome kichizi Hadi macho yamesisimuka alooπŸ™Œ
Hebu nibariki na picha nyingine ati.
 
Sio moyo

Hadi via ya uzazi

Wale mabinti waliompa kilevi baba yao

Wapewe mimba

Hiyo ndio pombe
Kumbe!
Mbona husemi siku zote hizo nikamwagilie na mimi ili nikienda kwenye show na baba mtumishi basi tukafongoe mbengo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…