Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Mashangazi wapo busy zaidi kuliko mabinti ili wanajua ku care, mabinti ni pasua kichwaa 😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Mbona wanatumaga sana tu, labda unakua busy muda mwingine
Mashangazi wapo busy zaidi kuliko mabinti ili wanajua ku care, mabinti ni pasua kichwaa 😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Mbona wanatumaga sana tu, labda unakua busy muda mwingine
Umetoa code sasa, utasababisha mabaharia wakasumbue madogo wa kishua mtaani😅😅Wapo wengi tu, shida ni moja walio brand new wengi vitoto vya kishua, uswazi kukuta ni mtihani kwasababu wengi hali za kimaisha zina waingiza kwenye mahusiano wakiwa bado wadogo sana.. mie kuna kamoja kiduchu nikachukue hako sasa hivi kana fanya Degeree ya Medical Doctor nje awali kalikuwa kana diploma 😅😅😅 vya ushuani vingi bado
Mashangazi si wana experience😛Mashangazi wapo busy zaidi kuliko mabinti ili wanajua ku care, mabinti ni pasua kichwaa 😅😅😅
😅😅😅😅 Wakapambane ila watoto ambao hawajaguswa kabisa wengi wao ni maisha bora, ila uswazi kupata ni mtihani ingawa naamini wapo ila kipengele kuwapata .. ila ushuani kama kusukuma mleviUmetoa code sasa, utasababisha mabaharia wakasumbue madogo wa kishua mtaani😅😅
Ukiyafikiria sana haya mambo kichwa kinaweza kupata moto. Ni kuficha kichwa mchangani kama mbuni na kujifanya kama vile hayapo. Mungu kweli na Atulinde bageshi!Acha tu bageshi, inafikirisha sana.
Mungu pekee atulinde![]()
Ndio usumbufu huo hatutaki sasaaa.. lugha gongana sio kabisaa 😅🫣Mashangazi si wana experience😛
So hamna litakalowashinda tofauti na madogo bado wanakua so mambo mengi
AmenAfadhali hukuwamo!
Mungu Awape ahueni majeruhi.
Maisha yetu wanadamu. Unatoka home uko mzima unarudi huna mkono au unaishia kwenye freezer mochwari. Ni kujiweka tayari kila siku maana hatujui siku wala saa japo mbwembwe za dunia hii zinatupotezea fokasi...Mungu na Atusaidie![]()

Jile ya mama chaulembo sio ya kitoto,nyau alijua kutetemesha yule,tena atubu kabisa








tuliwahi furushwa sie. Tulikua watoto wa primary km zaid ya 20, 2009 hiyo tulienda mto fulan kukwaa samaki, bhana wee kufika sehem kuna mawe makubwa tukatulia kumbe wao aidha watu tyuuh walikua wanataka kututisha, 









sitasahau. Mama chaulembo katukomesha yule mbwaaaa.Uswazi mambo mengi na kama ulivyosema hali duni za maisha watoto wanashawishika.😅😅😅😅 Wakapambane ila watoto ambao hawajaguswa kabisa wengi wao ni maisha bora, ila uswazi kupata ni mtihani ingawa naamini wapo ila kipengele kuwapata .. ila ushuani kama kusukuma mlevi
Hata sio ya kuyawaza kabisa bageshi muhimu tujiandae na tushukuru kwa kila jambo kama maandiko yanavyotuasaUkiyafikiria sana haya mambo kichwa kinaweza kupata moto. Ni kuficha kichwa mchangani kama mbuni na kujifanya kama vile hayapo. Mungu kweli na Atulinde bageshi!
Eeh! Kula wapo wa kumwaga kama ukivizia likizo likizo kuna maeneo yao sema ujipangeee tu kubadirika uendana na swaga zao bila hivyo imekula kwako 😅😅😅🤔🤔Uswazi mambo mengi na kama ulivyosema hali duni za maisha watoto wanashawishika.
Ila ushuani sio rahisi kushawishika kwa vitu vidogo since almost kila kitu anakipata.
Umenikumbusha nyuzi za mwanaharakati wa kuvalisha pete vitu ambavyo bado kwenye makaratasi...Mambo yameshabadilika na kama anavyosema Baba Mchungaji hapo uswahilini huku vibinti vidogoo unakuta tayari mabaharia walishapita navyo. Labda huko kwenye mageti makali japo nako kwa hali ya sasa mh!Umetoa code sasa, utasababisha mabaharia wakasumbue madogo wa kishua mtaani![]()
Ni wewe kweli huyo soulimeti?
Lile li mama lilishakamatwa,,nasikia walikuwa wanakata nyeti tutuliwahi furushwa sie. Tulikua watoto wa primary km zaid ya 20, 2009 hiyo tulienda mto fulan kukwaa samaki, bhana wee kufika sehem kuna mawe makubwa tukatulia kumbe wao aidha watu tyuuh walikua wanataka kututisha,
Bhana wakajitokeza na mifuko na panga kwa mbali, baadae wakaanza kusema kaeni hapo hapo wee tulivyojiacha hapo khaaaah, nilipita sehemu ina upupu nilijitumbukiza,
Nashangaa nipo shamban kwa mtu, upupu sisikii kuwasha wala nn, hapo nahema balaaa, upupu nimekuja kuusikia nyumban, cha moto nilipata,sitasahau. Mama chaulembo katukomesha yule mbwaaaa.


,Weweeee huogopi 30 yrs?🤣😛Eeh! Kula wapo wa kumwaga kama ukivizia likizo likizo kuna maeneo yao sema ujipangeee tu kubadirika uendana na swaga zao bila hivyo imekula kwako 😅😅😅🤔🤔
AmenHata sio ya kuyawaza kabisa bageshi muhimu tujiandae na tushukuru kwa kila jambo kama maandiko yanavyotuasa



Big boy?Weweeee huogopi 30 yrs?
Jaman imemuacha Big boy mwenyew, ananisuburi wacha nikamjoin tumalize siku
Mrembo mkulima mwenye taasisi zake😍😍
Wacha wee dada mzuri. Farmer km farmer