Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Mtunze vema aendelee kushine hivyo hivyo😊😅😅😅😅 Si unajua kila shetani na mmbuyu wake, nilikaopoa mahala hivi nisipataje wasije watu waka notes
Mtunze vema aendelee kushine hivyo hivyo😊😅😅😅😅 Si unajua kila shetani na mmbuyu wake, nilikaopoa mahala hivi nisipataje wasije watu waka notes
Na kulingana na matukio tunaanza kuamini kweli, alikuepo ottawa yule mbwaa aliokolewa na serikali kahamia makambako,.akionekana songea wanaua.![]()

jamani ottawa aliogopwa aisee,hivi sheli yake bado ipo?Ipi?Tupia ile kituuu![]()
😅😅😅 sema bado katoto kananichosha sana akili yani kana 22 nishazoe makurumbembe yangu haka yaani ni 🔥🔥🔥🔥 utoto mwingiMtunze vema aendelee kushine hivyo hivyo😊
hamna kituIpi?
Mimi nimeweka leo live bila chengaUkiweka wewe na mimi nitaweka.
jamani ottawa aliogopwa aisee,hivi sheli yake bado ipo?





kamaliza watu yule mbwaaa, baadae akaanza biashara ya viungo vya binadamu, akamtumia mama chaulembo na kampuni ya majambazi (machuna ngozi) 




Ndio kazuri hako km hazijasoma sana😛😛😅😅😅 sema bado katoto kananichosha sana akili yani kana 22 nishazoe makurumbembe yangu haka yaani ni 🔥🔥🔥🔥 utoto mwingi
vitoto ni shidaa mfano mwepesi ni hapa selfi, Ukiomba picha kwa Mashangazi wetu fastaaa, ila omba vitoto sister mtakeshaaa yaaani 😅😅😅😅😅 Mashangazi kwakweli waishi mileleMtunze vema aendelee kushine hivyo hivyo😊
😅😅😅 Haka nimekuta brand new mwenzangu ... nimetoa makaratasi mwenyewe nakafundisha maujanja mwenyeweNdio kazuri hako km hazijasoma sana😛😛
Usikaache pls mnapendezea sana
Jile ya mama chaulembo sio ya kitoto,nyau alijua kutetemesha yule,tena atubu kabisakamaliza watu yule mbwaaa, baadae akaanza biashara ya viungo vya binadamu, akamtumia mama chaulembo na kampuni ya majambazi (machuna ngozi)
Ila jaman Songea imepitia wakati mgumu mnooo.
Shell ipo ila haifanyi kazi.
hamna kitu

Hivyo vitu vinavyofanana na nundu ya ng'ombe vinamaliza upako haraka sana. Hapa penyewe naona kama vile umebakia nusu
View attachment 2234793


lohWakinga mnaitwa hukuwabena na wakinga wana oana wao kwa wao. Ni hvyo mtoto m1 kafara alee wenzake.
yaan hawa watu wanatafuta pesa kwaa urahis sana.
Ottawa kashaishiwa hana mpya, bus zake zote zimepark tyuuh.
Labda malori ndo yanatembea. Yuko makambako hapo anaendelea na mishe zake.![]()

🤣🤣🤣🤣vitoto ni shidaa mfano mwepesi ni hapa selfi, Ukiomba picha kwa Mashangazi wetu fastaaa, ila omba vitoto sister mtakeshaaa yaaani 😅😅😅😅😅 Mashangazi kwakweli waishi milele
Aisee tulia hapo hapo, wa hivyo sikuhizi wachache sana.😍😅😅😅 Haka nimekuta brand new mwenzangu ... nimetoa makaratasi mwenyewe nakafundisha maujanja mwenyewe
Afadhali hukuwamo!Babu,nilivyo na wenge moyo ungestop yaani,

Wapo wengi tu, shida ni moja walio brand new wengi vitoto vya kishua, uswazi kukuta ni mtihani kwasababu wengi hali za kimaisha zina waingiza kwenye mahusiano wakiwa bado wadogo sana.. mie kuna kamoja kiduchu nikachukue hako sasa hivi kana fanya Degeree ya Medical Doctor nje awali kalikuwa kana diploma 😅😅😅 vya ushuani vingi badoAisee tulia hapo hapo, wa hivyo sikuhizi wachache sana.😍
Acha tu bageshi, inafikirisha sana.Afadhali hukuwamo!
Mungu Awape ahueni majeruhi.
Maisha yetu wanadamu. Unatoka home uko mzima unarudi huna mkono au unaishia kwenye freezer mochwari. Ni kujiweka tayari kila siku maana hatujui siku wala saa japo mbwembwe za dunia hii zinatupotezea fokasi...Mungu na Atusaidie![]()