Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Babu,nilivyo na wenge moyo ungestop yaani,
Afadhali hukuwamo!

Mungu Awape ahueni majeruhi.

Maisha yetu wanadamu. Unatoka home uko mzima unarudi huna mkono au unaishia kwenye freezer mochwari. Ni kujiweka tayari kila siku maana hatujui siku wala saa japo mbwembwe za dunia hii zinatupotezea fokasi...Mungu na Atusaidie
 
Aisee tulia hapo hapo, wa hivyo sikuhizi wachache sana.😍
Wapo wengi tu, shida ni moja walio brand new wengi vitoto vya kishua, uswazi kukuta ni mtihani kwasababu wengi hali za kimaisha zina waingiza kwenye mahusiano wakiwa bado wadogo sana.. mie kuna kamoja kiduchu nikachukue hako sasa hivi kana fanya Degeree ya Medical Doctor nje awali kalikuwa kana diploma 😅😅😅 vya ushuani vingi bado
 
Afadhali hukuwamo!

Mungu Awape ahueni majeruhi.

Maisha yetu wanadamu. Unatoka home uko mzima unarudi huna mkono au unaishia kwenye freezer mochwari. Ni kujiweka tayari kila siku maana hatujui siku wala saa japo mbwembwe za dunia hii zinatupotezea fokasi...Mungu na Atusaidie
Acha tu bageshi, inafikirisha sana.
Mungu pekee atulinde🙏
 
Back
Top Bottom