πππ Kazoe, alafu mie toka zamani hata ma ex wangu watatu ambao nilibahatika kuishi nao kwa nyakati tofauti hivyo hivyo kila mtu anakuwa na chumba chake ndani ya nyumba moja.. tulikuwa tunakutana kati ya chumba cha mmoja na wakati mwingine chumba cha tatu ila kila mtu atarudi kulala kwake ππ na walizoe kabisaHaaa sasa si unampa tabu sana FIB kulala mwenyew kila siku jaman
Umenikumbusha kipindi niko A level boarding, roommate wangu alikua na tabia ya kuongea usingziniπ
Tukitoka prep akisinzia tu anaanza kuongea yale aliyosoma
Amen. ππMungu Akuwezeshe ndoto zako zitimie
π€π€ Kwaiyo huko hapatufai so twende mwanza labda hadi kisiwa cha saa nane tukatembee zetu ukelewe eeh π πJaman diet ya niniπ
Me mikoa yenye baridi inanitesa sana daah
πππππππ Kazoe, alafu mie toka zamani hata ma ex wangu watatu ambao nilibahatika kuishi nao kwa nyakati tofauti hivyo hivyo kila mtu anakuwa na chumba chake ndani ya nyumba moja.. tulikuwa tunakutana kati ya chumba cha mmoja na wakati mwingine chumba cha tatu ila kila mtu atarudi kulala kwake ππ na walizoe kabisa
Mwanza yees, tukale sato tuongeze weightππ€π€ Kwaiyo huko hapatufai so twende mwanza labda hadi kisiwa cha saa nane tukatembee zetu ukelewe eeh π π
haha wazee wa zamani walikuwa smart;
Hapo freedom ipo ya kwenda kwa mwenzako anytime unapojisikia , hata kupiga story na hata kulala kwa wakati mwingine ila kila mmoja ana chumba chake πππππππ
Aisee hii kali sijawah kuskia, kwahyo mmoja akimmis mwenzake usiku mnene anamfuata au unasubiri hadi asbh?
Huko hakuna baridii.. niweke booking wapi asaaa π π πMwanza yees, tukale sato tuongeze weightπ
Aah kama hivyo fresh.Hapo freedom ipo ya kwenda kwa mwenzako anytime unapojisikia , hata kupiga story na hata kulala kwa wakati mwingine ila kila mmoja ana chumba chake πππ
Alooo! Pole sana anza mazoezi chief
Ngoja nitaangalia maeneo ya tukio mazuri af takwambiaπHuko hakuna baridii.. niweke booking wapi asaaa π π π
Hii bei imechangamkaWewee!
Hili ni bara zima na zipo mtu 332.4 million tu. Kuna mapori kila kona. Ukiruka juu ndo unayaona vizuri...
Mikeka yao naona wanaitunza vizuri kwa sababu nyasi zinafyekwa na mandhari inawekwa vyema hasa huko mbali na mji. Ni kukanyaga wese tu japo bei kwa sasa inatisha!
View attachment 2232387
Ewaaa chap chap maana next week tuu tusogeee muandae kisaikolojia Big BoyNgoja nitaangalia maeneo ya tukio mazuri af takwambiaπ
πππ Anytime napenda kulala mwenyewe.. nisichopenda kulala wawili unakuta usingizi umekoza unaanza kuzingulikhwa kuitwa au kushikana ... haya mambo huwa naborekaAah kama hivyo fresh.
Me mchana ndio napenda nilale mwenyew, tena nijifungie kabisa chumbani na funguoπ
No distabansi
Big boy hana neno, na saivi yuko busy busy kidogo so haitaleta shida hata nikimuacha for 1 weekπEwaaa chap chap maana next week tuu tusogeee muandae kisaikolojia Big Boy
Kuna mdau wangu anao 8 na kila mmoja na mama akehaha wazee wa zamani walikuwa smart;
Tatizo Ni ninyi vijana wa kisasa
Mnachafua kila mahala.
Dully saksi( mr misifa) ana watoto Saba na kila mtu na mama ake
Fanya ucheki eneo la tukio mapemaaa tuwekee booking π πBig boy hana neno, na saivi yuko busy busy kidogo so haitaleta shida hata nikimuacha for 1 weekπ
Yanakata usingz balaa, ndio maana me mchana nafanya hvyo sababu usingiz ukishakata had uje tena aah sio leoπππ Anytime napenda kulala mwenyewe.. nisichopenda kulala wawili unakuta usingizi umekoza unaanza kuzingulikhwa kuitwa au kushikana ... haya mambo huwa naboreka
UsikondeFanya ucheki eneo la tukio mapemaaa tuwekee booking π π
πππ haya acha na mie nikae shule sasaUsikonde
Wacha niende kwa Big boy now, naona ashamaliza kaz zake