Selfika na JF: Snap it. Show it

Jaman kuna rafiki angu wa utotoni anaolewa, sasa nimealikwa,
Japo huwa sipendelei kuhudhuria harusi, ila hii lazima niwepo na nimepania kufunika kwa mavazi na muonekano.

Naomba mnichagulie rangi ambayo nikivaa na kwa mshono husika nitawaka hatareee. Na mshono wenyewe ni huu kwa picha. Yaan nataka nitoke km hivyo had hiyo kofia hapo,

Mnichagulie rangi, hii nyeupe sijaitaka. Nataka ingine mie. Haya naombeni msaada wenu.

Serious yaan..

 
Heaven Sent msaada huku!!
 
Haya mkuje mwali wenu anatka kuwaka
 
Ah utadamshi siku hiyo
Ngoja waje kukupa mwongozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…