Mpendwa!
Nilishapita level za mapokeo, sijui nn huko siwezi yaani!au kumtegemea mtumishi...makanisa mengine hawakunielewa waliona sitaki kumtegemea mchungaji km nabeza hivi
kumbe wala!
Mie hata kanisani huwa naona uvivu kwenda!
Sioni kile ambacho Mungu anataka,eti unahubiri unamaliza hakuna kuwaambia watu habari za wokovu,waje kwa Yesu? Halafu unasema ulikuwa ibadani?
no!
Acha nipambane na hali yangu nipewe maelekezo ya nilichoitiwa!