tamsana
Platinum Member
- Jan 13, 2012
- 3,830
- 8,246
Boss lady 🙌
Boss lady 🙌
wapi twin akeeeeeeeeehhh😘😘😘😘♥️♥️♥️♥️!! !!😜😜Boss lady 🙌
Li Bosi Ledi ...na pacha wake




😀😀😀😀😀.. Kama umenielewa asante sanaaNajua watakaokuelewa ni wachache sana![]()
Kuna huyu anaitwa Joseph Prince, baba anafundisha sana. Imebidi vipindi vyake niwe naviwekea alarm kwenye TBN nisipitwe na mafundisho yake.Asante Baba Mchungaji...
Wachungaji wa siku hizi hawa manabii na mitume wengi wamejikita kwenye injili ya utajirisho (prosperity gospel) na ni nadra sana kusikia tena nguvu ya msalaba wala damu ya Yesu dhidi ya dhambi za mwanadamu. Makanisa mengi sasa yamegeuka na kuwa ofisi za wanasaikolojia ambako watu wanakwenda kupunguziwa mizigo yao japo kwa muda tu ili wajisikie vizuri. Permanent baby Christians. Ukiwahubiria mambo magumu ya kutubu dhambi, kujikana nafsi na kujitwisha msalaba wa Yesu kila siku wanakukimbia. Ndiyo maana wanasaikolojia hawa wa kiroho kama Joel Osteen wamefanikiwa sana.
Tusiwalaumu. Labda ndiyo maono yao waliyopewa. Bila shaka utakaporudi Ethiopia utasimama katika kweli na kuihubiri injili ya kweli ngumu - injili ya nguvu ya msalaba na damu ya Yesu katika kutuondolea dhambi. Unayo kazi nzito mbele yako. Jiandae vizuri ewe Jemedari wa Bwana!![]()
Kuna video inazunguka Mtume na nabii mmoja "akimfufua" mfu mmoja huko Morogoro vijijini yaani ni vituko tupu.Watu wanapenda sana miujiza. Ndio maana kuna wachungaji fake wanatengeneza shuhuda za uongo iki kupata attention ya washirika wao.
Kwenye masuala ya kiroho hakuna kitu kizuri kama kujaa neno, huwezi yumbishwa na kitu chochote.
Watu wanaabudu wanadamu bila kujua.



Unajua ile kwamba kuna manabii wa uongo km ilivyoandikwa haina maana hakuna wa kweli!Mkuu sio kwamba mafundisho ya kweli hayapo, bali kwa sababu ya watu waliowengi kupenda miujiza ndio maana kuna baadhi ya mitume na manabii wa uongo (kama ilivyoandikwa) wanatumia huo mwanya kuvuna washirika. Watu
Wachache sana wamejaa neno ambao wana uwezo wa kuzipima roho za hao manabii wa uongo.
Mimi siwezi kuabudu sehemu ambayo haina mafundisho ya kweli.
Yani mtu na akili zako ukaanze kukanyaga chumvi?
Nimemmisi mpaka basi hapa nataka niombe ruhusa nikamuone hata siku mbilitatu tukafanye fujo Huko aliko!Li Bosi Ledi ...na pacha wake![]()
Prince ameisoma sana Biblia tena katika lugha mbalimbali zikiwemo Kiebrania na Kigiriki cha kale. Anakupa mitazamo mbalimbali tena kwa undani sana. Ushindwe mwenyewe tu yaani...Kuna huyu anaitwa Joseph Prince, baba anafundisha sana. Imebidi vipindi vyake niwe naviwekea alarm kwenye TBN nisipitwe na mafundisho yake.
Umesema kweli. Kukiwa na semina ya Neno la Mungu (kujifunza tu neno la Mungu) watu hata hawaji. Tangaza sasa kuna maombi na maombezi. Au Ile tu semina; muda wa neno watu hata hawajali; ufike muda wa maombi sasa afu waambiwe Mtumishi atamuombea mtu mmoja mmoja weeeee
Sent using Jamii Forums mobile app

nimecheka


Kwa hiyo familia nzima kwenu pisi kali tupu ama? Mmependelewa sana!Nimemmisi mpaka basi hapa nataka niombe ruhusa nikamuone hata siku mbilitatu tukafanye fujo Huko aliko!
Yaani sio nabii tu(hii huduma najua inapigwa ,vita sana)Ukiona nabii ana ku point kwake badala ya kuku point kwa Yesu Kristo, huyo una mpiga ban tu, simple kama hivyo![]()
Miujiza,ishara haina shida,Mungu ana makusudi yake kuweka !Watu wanapenda sana miujiza. Ndio maana kuna wachungaji fake wanatengeneza shuhuda za uongo iki kupata attention ya washirika wao.
Kwenye masuala ya kiroho hakuna kitu kizuri kama kujaa neno, huwezi yumbishwa na kitu chochote.
Watu wanaabudu wanadamu bila kujua.
Uko sahihi lakimi kwanza tunatakiwa kufahamu msingi wa Manabii na Mitume. Ukishajua misingi ya hao watumishi wa Mungu utakuwa huru (fahamu kweli nayo kweli itakuweka huru).Unajua ile kwamba kuna manabii wa uongo km ilivyoandikwa haina maana hakuna wa kweli!
Wapo wengi tu!
Na kumbuka Mungu hafungwi kiutendaji!
Yaani Mungu ana njia nyingi tofauti,shida tuna namna zetu ambazo tunaona hapa kweli ni Mungu hapa sio!tumemywekea mipaka.
Ndo maana wanapotokea watumishi wa Mungu wanaotumika kwa viwango vya juu tofauti na mapokeo na tunavyofikiri tunadhani ni waongo!
Neno la Mungu lazima liambatane na udhihirisho wa nguvu za Mungu,kwa uwezo wa Roho Mtakatifu!
Nje ya hapo haina maana hata halisaidii!
Ndo maana mahubiri,mafundisho mengiii lkn hatuoni mabadiriko sbb hakuna pumzi ya Mungu ndani ya neno linaloachiliwa!
Kwahiyo anapotokea mtumishi akahubiri,fundisha neno na nguvu za Mungu zikiambatana na neno,na watu ambao wana mapokeo hawamuelewi,wanaona km uchawi! No!
Yaani ufunuo ni ufunuo tu,hata km Mungu kasema wape maji ndo hivyo!
To me uwe kukanyaga nn,sijui nn,I don't care ili mradi iwe ni RM kaleta huo ufunuo na nitajua tu!
Mtu anaweza akahubiri hilo neno unalosema la kweli lkn akawa anatumia madhabahu isiyo ya Mungu unajua hiyo?
Cheki ufunuo 2:13....
Mko mabinti wangapi?






Kwenye zile huduma 5, kila mmoja ana namna yake alivyoitwa na ana maelekezo yake ya namna gani anatakiwa kutumika!Asante Baba Mchungaji...
Wachungaji wa siku hizi hawa manabii na mitume wengi wamejikita kwenye injili ya utajirisho (prosperity gospel) na ni nadra sana kusikia tena nguvu ya msalaba wala damu ya Yesu dhidi ya dhambi za mwanadamu. Makanisa mengi sasa yamegeuka na kuwa ofisi za wanasaikolojia ambako watu wanakwenda kupunguziwa mizigo yao japo kwa muda tu ili wajisikie vizuri. Permanent baby Christians. Ukiwahubiria mambo magumu ya kutubu dhambi, kujikana nafsi na kujitwisha msalaba wa Yesu kila siku wanakukimbia. Ndiyo maana wanasaikolojia hawa wa kiroho kama Joel Osteen wamefanikiwa sana.
Tusiwalaumu. Labda ndiyo maono yao waliyopewa. Bila shaka utakaporudi Ethiopia utasimama katika kweli na kuihubiri injili ya kweli ngumu - injili ya nguvu ya msalaba na damu ya Yesu katika kutuondolea dhambi. Unayo kazi nzito mbele yako. Jiandae vizuri ewe Jemedari wa Bwana!![]()
Hahahaha.... Sita majembe mawili! Halafu huwezi kuamini! wengine ni weusi tii ile tiiiii😜Mko mabinti wangapi?
Yeah! Wote pisi kali japo inavyoonekana wewe ndo umewazidi wote!
Mtu akioa hapo inabidi awe mwangalifu kwa sababu lo lote laweza kutokea![]()
Wameolewa au nianze kusogeaSita majembe mawili!😜
Amebaki huyo tu 😉Wameolewa au nianze kusogea
Mpendwa!.. Kama umenielewa asante sanaa
kumbe wala!
no!