SELF DEFENCE, jiandae kwa dharura muda wowote

SELF DEFENCE, jiandae kwa dharura muda wowote

Unapokaa bar kaa sehemu ambayo utaweza Kuna watu ikiwezekana wote wanaoingia na kutoka ili wakija wazee wa lala chini unacrow unasepa na ukiwa bar usipende kukalia kochi uwe unakalia stuli au kiti cha plastiki ili wakija wazee wa mapanga stuli au kiti ndio itakuwa gudi yako dhidi ya panga.
 
Ebu nifafanulie hapo mkuu na unavitumiaje pale unapokutana na circumstances za kukutia shaka
Mbona nishaeleza hapo kuwa nimefanyia mazoezi ya kutoboa mapera kwenye mpera kwa kasi ya ajabu. Imagine sasa ndo nimekutana na wewe kisha unataka kunidhuru.
 
hi guys!!
FALSAFA BORA YA MAISHA YAKO!
1-Uckubali kuzoeana na mtu usiyemjua
2-Unapoitwa ghafla usigeuke,puuza kama husikii ili kupima sauti ni ya nani?
3-ucpendelee kutumia njia moja,badilisha njia nyingine ili usiwe maarufu kwa njia fulani
4-popote utakapo kwenda fuata shida yako iliyokupeleka
5-Epuka kuchunguza na kufuatilia kitu kisichokuhusu na epuka kulaumu hadharani
6-jitahid kumjua mtu tabia yake
7-mjali mwenzako tunza siri na jitahid kutimiza ahadi
8-Ukiaminiwa basi na wewe jiaminishe.
9-Usiwe na tabia ya kudharau wenzio
10-Ridhika na ulichonacho kwa MUNGU useme ahsante...
ongezea na ww falsafa yako!!
# Mondray ...
===========Updates!!!=======
Jamani mm sijaweka hizi ili mzikosoe wala kusema namba flani ni nzuri.
Mm nataka tushee Idea kama na ww unazo zako toa tushee maujuzi...
Mnielewe.
[HASHTAG]#Mondray2017[/HASHTAG].

========>><<====<=
NYONGENZA..
1- Unatembea ngumi hujui, pistol huna, kisu huna hata peni kma speedo huna, ukikabwa unalia lia, ata kma husomi weka peni mfukoni kma huna siraha nyingine. 2-Hata kma huvuti, weka kibiriti hasa cha gesi mfukoni. Mtu kakukaba shingo kiwashe mchome nguo au sehem yyte sepa
3-Geto usikose Nondo, panga , bisbis, kamba au waya .
4- Usisahau nguo nzito kma blanket na maji incase of fire.
5- Unapoenda sehem mgeni unamsubir mtu, sio unakaa sehem moja lisaa lizima tena kiboya boya ad wahuni wajue we mgeni.
7-Unaelekea ktk uchochoro unaona kuna watu huaelewi nao wanakuja, nawe unaenda tu, utalizwa, subir kwanza au tafuta njia nyingine.
8--Kila siku ukienda misele unapita njia moja iyo iyo , ata washirikina wakikuotea hukwepi, jichek, jifunze kupita njia tofauti tofauti.
9--Ukiingia kwenye nyumba/ jengo mara ya kwanza, angalia na sehem za kutokea, sio unaenda kma mbuzi, kua kma mbwa mark sehem mlizopita na mbadala wake pia.
10-Mtoto wa kiume usilale ukavua nguo zote, utaja zalilika
11- jifunZe kubana punzi kwa muda usiopungua dk tatu, zile robbery za kitoto utazimudu.
12-- kma hujui kuogelea na unaenda maeneo ya maji, beba kudumu cha mafuta kilichoisha cha lita tano chene mfuniko, incase of anything, kiweke kifuani ukuwa umekifunga mfuniko maji yasiingie ndani, kishikilie haswa, hutazama miaka mia
 
hizo rules kuna wengine ni sehemu ya kazi yao.
 
hii number 10, mtoto wa kiume unaazaje kulala uchi
 
Ninapolala hoteli,guest na mazingira kama hayo napenda kukagua chumba ikibidi hata godoro nageuza,nacheki kabati..na mazingira Kwa ujumla sababu huwezi jua..
 
Unachukua boda boda usiku inakupekeka mpaka mlangoni.....WTF.....Shuka mita 200 nyuma ..kisha unakuja taratibu huku ukifanya recce...

Binafsi nikichukua usafiri wa boda haunifikishi mpaka getini...nashuka mita kadhaa nyuma halafu natembea mdogo mdogo mpaka home
Hata mimi mkuu hiyo inasaidia kuepusha michoro pale nyumbani pia kutosomeka na dreva boda boda kama hakujui.
 
AAEAAQAAAAAAAANiAAAAJDg4MmIwYjFjLTg1NTItNDUzNy04ZmY4LTFmODUyOTJhMmY5OQ.jpg


weed ,

Mkuu hiyo tamaduni na maji maji walishindwa .

Avatar yako Sawa.

Ila hiyo hirizi ni uchafu na mzigo kwa
Karne hii.

By the way, wezi nao wanazo hirizi tena labda kubwa kuliko hiyo yako.
 
1- Unatembea ngumi hujui, pistol huna, kisu huna hata peni kma speedo huna, ukikabwa unalia lia, ata kma husomi weka peni mfukoni kma huna siraha nyingine.


2-Hata kma huvuti, weka kibiriti hasa cha gesi mfukoni. Mtu kakukaba shingo kiwashe mchome nguo au sehem yyte sepa


3-Geto usikose Nondo, panga , bisbis, kamba au waya .


4- Usisahau nguo nzito kma blanket na maji incase of fire.


5- Unapoenda sehem mgeni unamsubir mtu, sio unakaa sehem moja lisaa lizima tena kiboya boya ad wahuni wajue we mgeni.

7-Unaelekea ktk uchochoro unaona kuna watu huaelewi nao wanakuja, nawe unaenda tu, utalizwa, subir kwanza au tafuta njia nyingine.


8--Kila siku ukienda misele unapita njia moja iyo iyo , ata washirikina wakikuotea hukwepi, jichek, jifunze kupita njia tofauti tofauti.


9--Ukiingia kwenye nyumba/ jengo mara ya kwanza, angalia na sehem za kutokea, sio unaenda kma mbuzi, kua kma mbwa mark sehem mlizopita na mbadala wake pia.


10-Mtoto wa kiume usilale ukavua nguo zote, utaja zalilika

11- jifunZe kubana punzi kwa muda usiopungua dk tatu, zile robbery za kitoto utazimudu.

12-- kma hujui kuogelea na unaenda maeneo ya maji, beba kudumu cha mafuta kilichoisha cha lita tano chene mfuniko, incase of anything, kiweke kifuani ukuwa umekifunga mfuniko maji yasiingie ndani, kishikilie haswa, hutazama miaka mia

NB: NI KWA WEMA TU, USITUMIE VIBAYA

ONGEZA NYINGINE
Hahahahhaha athanteeeee mkuu ila hapo namba 10...kuna ka utata what if a man is married kwahiyo alale na jeans mkuu?
 
Huu ushauri ni mzuri sana hutakiwi kujisahau,mtu unatakiwa kuishi kwa tahadhari ili lolote linalojitokeza uweze kulikabiri.
 
Hata mimi mkuu hiyo inasaidia kuepusha michoro pale nyumbani pia kutosomeka na dreva boda boda kama hakujui.
Ni kweli kabisa..

Halafu getini ni dead point...yani hata majambazi huwa wanakulia timing mpaka ufike getini...wakati unasubiri kufunguliwa geti hapo hapo wanakumalizia au wanaingia na wewe ndani...
 
Unapokaa bar kaa sehemu ambayo utaweza Kuna watu ikiwezekana wote wanaoingia na kutoka ili wakija wazee wa lala chini unacrow unasepa na ukiwa bar usipende kukalia kochi uwe unakalia stuli au kiti cha plastiki ili wakija wazee wa mapanga stuli au kiti ndio itakuwa gudi yako dhidi ya panga.
Hiyo inaitwa ...."route In and Rout Out"
 
Huu ushauri ni mzuri sana hutakiwi kujisahau,mtu unatakiwa kuishi kwa tahadhari ili lolote linalojitokeza uweze kulikabiri.
Priciple ya 'Mine Field' kwenye vita unaambiwa always Suspect every thing, trust no body..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom