Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,225
- 33,691
saf sanaHuwa sikosi Toothpick mfukoni na katikati ya vidole hasa usiku. Nimefanyia zoezi kwenye kutoboa mapera kwa kasi ya ajabu yakiwa mtini.
saf sanaHuwa sikosi Toothpick mfukoni na katikati ya vidole hasa usiku. Nimefanyia zoezi kwenye kutoboa mapera kwa kasi ya ajabu yakiwa mtini.
hahah hiyo kazungumza kwa levo za chini kabisaMkuu twende beach na vidumu vya lita tano? masikhara haya
Sio tu kumuonesha...hata ule mlio wa boda majirani wanajua jamaa ndo kaingia hivyo...Hata me asee. nimwonyeshe home ili iweje
Si ndio nimeshangaa niende coco na kidumu tenahahah hiyo kazungumza kwa levo za chini kabisa
sehem ambazo ziko vizuri nyingi wanakuwa na yale maboya nafikiri
mwenye kisu kitamfaa hicho
mwenye bastola itamfaa hiyo
mwenye kidumu hicho kitamfaa
Halafu mapambano si umilkaji wa silaha za kila namna(Japo nimuhimu kuwa na silaha).....ila timing tuu....yani unamlia adui yako timing...halafu unamtusuaSelf defence ni muhimu sana, Ingawaje kujulikana kuwa una miliki Silaha tayari wewe ni target., sambamba na hilo inahitajika umakini mkubwa lasivyo unaweza kuja kupigwa ambush na Mtu mweye Bisibisi huku Mkononi umeshikilia AK 47!!!
Wewee....tofautisha kati ya Kisu na Beto ama Sime.Kila nyumba ina silaha muhimu kabisa ya ulinzi (kisu) ila cha ajabu inaachwa store ama jikoni.
Unanikumbusha Uganda mkuu kuuwa nguvu ya dawa ya usingiziBeba na anjifu sio unapenga tu kamasi pyeeeeee mbele za watu
Usisahau kuweka beseni la maji ndani unakolala kwa wale wa uswazi wenzangu wamenielewa
Kwel ukichukua bodaboda shuku mbali kidogo na home kwako.Unachukua boda boda usiku inakupekeka mpaka mlangoni.....WTF.....Shuka mita 200 nyuma ..kisha unakuja taratibu huku ukifanya recce...
Binafsi nikichukua usafiri wa boda haunifikishi mpaka getini...nashuka mita kadhaa nyuma halafu natembea mdogo mdogo mpaka home
Hahahaha....eti unamtusuaHalafu mapambano si umilkaji wa silaha za kila namna(Japo nimuhimu kuwa na silaha).....ila timing tuu....yani unamlia adui yako timing...halafu unamtusua