Uchaguzi 2020 Selemani Bungala (Bwege) asema Magufuli hakushinda kihalali. Atolea mfano wa aliyoshuhudia katika vituo viwili jimboni kwake

Sio hoja kivip wewee, mnadai mawakala walifukuzwa , haya waliofanikiwa kushuhudia matokeo kwenye vituo hata kama wapo kumi , watupe nakala tujumlishe tuone kama Lissu alishinda na hyo ndo iwe sample ya matokeo yote , na hapo tutaamin kwel Lissu alishinda kura zikachakachuliwa ...sasa kuongea ongea Tu mara ooh niliona kwenye vituo vingi , mara oooh kimoja JPM 70 Kwa 67 , mara mabegi ya kura sjui , njia sahihi mawakala walikodoa from begining to the end na wakapewa nakala , watupe hayo tuoneee....

Mawakala wapo kimya na ndo Wana data nzuri, Kati ya watu waliosimamia uchaguz most ni walimu , watu ambao wanamhate Sana JPM but na wao wapo kimya cse wanajua JPM kashinda kiuhalali kabisa , ......
Nilikuwa na was was na matokeo ya ubunge wa mbowe , nimeongea na majamaa wa Hai wanadai jamaa kapigwa kiuhalali kabisa .....

Angalieni hzi laana mnazoliombea Taifa zitawarudia , mana mnajua mmeshindwa ila Kwa ukaidi mnatengeneza maneno ...
Hujui ulisemalo, wakati mwingine kukaa kimya ni busara pia.
 
Huu mchezo wa kupora chaguzi waliufanya kwenye chaguzi za marudio huko Kinondoni, Siha na Ukonga, Kisha wakafanya kwenye serikali za mitaa bila aibu, na kisha wakafanya kwenye uchaguzi mkuu!.

Halafu wakitoka hapo wanajifanya kumtaja Mungu, eti tuwaombee, tuwaombee nini wakati nyie siyo watu wa haki?
 
Ukiambiwa matokea halisi CCM walivyopigwa huwezi amini ,mwakahuu waligarazwa CCM , mpaka aibu ,Arusha Chadema ubunge viti walivyoshinda ni vitano , Tabora Chadema viti vinne .
 
Ukiambiwa matokea halisi CCM walivyopigwa huwezi amini ,mwakahuu waligarazwa CCM , mpaka aibu ,Arusha Chadema ubunge viti walivyoshinda ni vitano , Tabora Chadema viti vinne .
 
Sio hoja kivip wewee, mnadai mawakala walifukuzwa , haya waliofanikiwa kushuhudia matokeo kwenye vituo hata kama wapo kumi , watupe nakala tujumlishe tuone kama Lissu alishinda na hyo ndo iwe sample ya matokeo yote , na hapo tutaamin kwel Lissu alishinda kura zikachakachuliwa ...sasa kuongea ongea Tu mara ooh niliona kwenye vituo vingi , mara oooh kimoja JPM 70 Kwa 67 , mara mabegi ya kura sjui , njia sahihi mawakala walikodoa from begining to the end na wakapewa nakala , watupe hayo tuoneee....

Mawakala wapo kimya na ndo Wana data nzuri, Kati ya watu waliosimamia uchaguz most ni walimu , watu ambao wanamhate Sana JPM but na wao wapo kimya cse wanajua JPM kashinda kiuhalali kabisa , ......
Nilikuwa na was was na matokeo ya ubunge wa mbowe , nimeongea na majamaa wa Hai wanadai jamaa kapigwa kiuhalali kabisa .....

Angalieni hzi laana mnazoliombea Taifa zitawarudia , mana mnajua mmeshindwa ila Kwa ukaidi mnatengeneza maneno ...
Kama kulikuwa na uhakika wa ushindi, kwanini hawakufanya zoezi la kuhesabu kura kuwa la wazi kama ilivyokuwa kwenye kura za maoni? Kwanini walizuia baadhi ya mawakala wa upande mmoja?
 
Aliyekuwa mbunge wa Kilwa kusini ndugu Selemani Bungala (Bwege) , amesema kuwa licha ya yeye kukosa Ubunge lakini Uchaguzi uliokuwa na matatizo zaidi ni wa Urais.

Amesema ameshuhudia yeye mwenyewe kwa macho yake katika vituo kadhaa katika jimbo lake ambapo kura halisi alizopata Magufuli zikibadirishwa na kuwekwa figure ambayo siyo halisi.

Amesema aliona kwa macho yake katika kituo kimoja Magufuli akipata kura 70 na Tundu Lissu kura 67 lakini za Magufuli ziliongezwa na kuwa nyingi zaidi ya hizo.
Na kwenye kituo kingine akasema Magufuli aliongezewa kura 150 ambazo siyo halali yake!

Selemani Bungala(Bwege) ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na kituo cha TV cha Kenya.

Kwa habari zaidi, msikilize ndugu Bwege hapa akihojiwa.


Huyo kweli ni Bwege!
 
Kama kulikuwa na uhakika wa ushindi, kwanini hawakufanya zoezi la kuhesabu kura kuwa la wazi kama ilivyokuwa kwenye kura za maoni? Kwanini walizuia baadhi ya mawakala wa upande mmoja?
Mawakala wapi walizuiwa wewe? Mawakala wengi wa upinzani waliondoka vituoni baada ya kutolipwa posho na vyama vya upinzani.
 
Ww hujui chochote na hutakaa ujue chochote, mm nilikuwa msimamizi wa kituo! Najua kilichofanyika!!! Yalikuwa yanatekelezwa maagizo wala sio maamuzi ya wananchi!!,
Kiujumla uchaguzi huu ulikuwa wa hovyo sana
Alisikika mjumbe mmoja kura za maoni moshi akiwambia wajumbe aweka pazia mlima kilimanjaro,na kuwataka wajumbe wacheke kwa pamoja hahaaaaaaaa,
Sasa tunaanza pata shuhuda ,
 
Aliyekuwa mbunge wa Kilwa kusini ndugu Selemani Bungala (Bwege) , amesema kuwa licha ya yeye kukosa Ubunge lakini Uchaguzi uliokuwa na matatizo zaidi ni wa Urais.

Amesema ameshuhudia yeye mwenyewe kwa macho yake katika vituo kadhaa katika jimbo lake ambapo kura halisi alizopata Magufuli zikibadirishwa na kuwekwa figure ambayo siyo halisi.

Amesema aliona kwa macho yake katika kituo kimoja Magufuli akipata kura 70 na Tundu Lissu kura 67 lakini za Magufuli ziliongezwa na kuwa nyingi zaidi ya hizo.
Na kwenye kituo kingine akasema Magufuli aliongezewa kura 150 ambazo siyo halali yake!

Selemani Bungala(Bwege) ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na kituo cha TV cha Kenya.

Kwa habari zaidi, msikilize ndugu Bwege hapa akihojiwa.


Sawa kwa hiyo tundu kapata kura halali lakini magufuli alitakiwa kupata kula milioni tatu sio? Maana alimzidi tundu kwa uchache.
Basi bungara achukue kura milioni 4 aongeze kwa tundu bado magu atashinda tu.
 
Hata viongozi waliongia kwa kupindua nchi huwa ni viongozi. Narudia tena, waliopiga kura hawakufika 10m, hilo sikulazimishi uamini, lakini habari ndio hiyo.
Kwani takwimu za TUME zinasemaje kuhusu idadi ya raia waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura? je, kati ya hao ni asilimia ngapi walipiga kura, labda tuanzie hapo.
 
Aliyekuwa mbunge wa Kilwa kusini ndugu Selemani Bungala (Bwege) , amesema kuwa licha ya yeye kukosa Ubunge lakini Uchaguzi uliokuwa na matatizo zaidi ni wa Urais.

Amesema ameshuhudia yeye mwenyewe kwa macho yake katika vituo kadhaa katika jimbo lake ambapo kura halisi alizopata Magufuli zikibadirishwa na kuwekwa figure ambayo siyo halisi.

Amesema aliona kwa macho yake katika kituo kimoja Magufuli akipata kura 70 na Tundu Lissu kura 67 lakini za Magufuli ziliongezwa na kuwa nyingi zaidi ya hizo.
Na kwenye kituo kingine akasema Magufuli aliongezewa kura 150 ambazo siyo halali yake!

Selemani Bungala(Bwege) ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na kituo cha TV cha Kenya.

Kwa habari zaidi, msikilize ndugu Bwege hapa akihojiwa.


Hana lolote huyo ni loser. Nyie wakenya mnafikiri ndio mna demokrasia nzuri wakati mlichonacho ni ufisadi na ukabila tu. Acheni kuingilia mambo ya tanzania kuchagisha sauti za upinzani wakati wananchi wamewafagia.
 
Hana lolote huyo ni loser. Nyie wakenya mnafikiri ndio mna demokrasia nzuri wakati mlichonacho ni ufisadi na ukabila tu. Acheni kuingilia mambo ya tanzania kuchagisha sauti za upinzani wakati wananchi wamewafagia.
Labda wananchi unaowasema ni NEC, TISS na Polisi!
Lakini siye akina Kabwela hatukupewa nafasi ya kura zetu kuheshimiwa!
 
Kwani takwimu za TUME zinasemaje kuhusu idadi ya raia waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura? je, kati ya hao ni asilimia ngapi walipiga kura, labda tuanzie hapo.
Utajuaje wakati matokeo ya kura yaliyosomwa ni figure tu zilizoandikwa kwenye makaratasi. Kura zingehesabiwa kwa mujibu wa sheria ilipaswa zihesabiwe na matokeo yabandikwe vituoni, Vituo vingapi vilihesabu kura na majumuisho kuwekwa kila kituo?-Waliogopa wangefanya hivyo ingekuwa ngumu kujipa kura wanazozitaka, au hata kama walishapanga kupiga magumashi hawakuwa na uhakika kama hilo lingefanikiwa vizuri kwa ngazi ya vituo, wakaona wavunje sheria kura zipelekwe majimboni na huko wakaandike figure wanazizitaka wao.
Ndiyo maana Kuhesabu kura kuliwachukua masaa 36 tu kitu ambacho hakiwezekani kwa ukubwa wa nchi yetu!
 
Back
Top Bottom