mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,845
- 3,481
hilo halina mjadala, tunaongozwa na watu wa kura feki
Aliyekuwa mbunge wa Kilwa kusini ndugu Selemani Bungala (Bwege) , amesema kuwa licha ya yeye kukosa Ubunge lakini Uchaguzi uliokuwa na matatizo zaidi ni wa Urais.
Amesema ameshuhudia yeye mwenyewe kwa macho yake katika vituo kadhaa katika jimbo lake ambapo kura halisi alizopata Magufuli zikibadirishwa na kuwekwa figure ambayo siyo halisi.
Amesema aliona kwa macho yake katika kituo kimoja Magufuli akipata kura 70 na Tundu Lissu kura 67 lakini za Magufuli ziliongezwa na kuwa nyingi zaidi ya hizo.
Na kwenye kituo kingine akasema Magufuli aliongezewa kura 150 ambazo siyo halali yake!
Selemani Bungala(Bwege) ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na kituo cha TV cha Kenya.
Kwa habari zaidi, msikilize ndugu Bwege hapa akihojiwa.
Kama mna ushahidi wa kura kuibiwa au matokeo kuchakachuliwa pelekeni mahakamani ni za humu nchini au za kikanda.Ha ha haa mpigwa Hai na nje ya Hai,Mmepigwa pemba na nje ya pemba haha haaa wananchi wamewatupa mkonoSidhani kama unajua ulichoandika na ukweli ktk 'box la kura' ulivyokuwa! Ila watu kama nyie mpo wengi wenye akili fupi.
Wakikupa hizo nakala naacha kuchangia humu. Na nitafurahi kama na Wakala wa Chadema aliyekuwepo kwenye kituo nilichokuwa Msimamizi Mkuu nae ataleta Nakala niliyompa na kueleza "wizi" uliofanyika. Na akifanya hivyo, NAACHA KAZI NA KUWA MWANACHADEMA!!!Tunawataka Mawakala wa CHADEMA walioshuhudia watupe hizo Nakala, tuchukue kama sample tuone kama Lissu alishinda mbona tunaandikia mate na wino upo, mfano wa Bwege unaonyesha still JPM aliwin 70/67 .....zingine ni bla bla
Unaongea nn we jamaa , hapa nilipo vituo Saba vilikuwepo na mawakala wa Chadema walikuwepo , walishuhudia show nzima mpak mwisho , na nakala wakachukua, matokeo yalikuwa ni disaster Kwa Lissu kituo ambacho aliscore kura nyingi ni kura 43 dhidi ya 78 za JPM ....Wewe unatoka sayari gani? 90% ya mawakala hawakuruhusiwa kushudia zoezi la kura kupigwa wala kuhesabiwa.Nawalioruhusiwa wengi waliondolewa kabla ya zoezi kwisha lastly hakunamahali waitoa nakala za matokeo zikiwana signature za wasimamizi.
Aliyekuwa mbunge wa Kilwa kusini ndugu Selemani Bungala (Bwege) , amesema kuwa licha ya yeye kukosa Ubunge lakini Uchaguzi uliokuwa na matatizo zaidi ni wa Urais.
Amesema ameshuhudia yeye mwenyewe kwa macho yake katika vituo kadhaa katika jimbo lake ambapo kura halisi alizopata Magufuli zikibadirishwa na kuwekwa figure ambayo siyo halisi.
Amesema aliona kwa macho yake katika kituo kimoja Magufuli akipata kura 70 na Tundu Lissu kura 67 lakini za Magufuli ziliongezwa na kuwa nyingi zaidi ya hizo.
Na kwenye kituo kingine akasema Magufuli aliongezewa kura 150 ambazo siyo halali yake!
Selemani Bungala(Bwege) ameyasema hayo alipokuwa akihojiwa na kituo cha TV cha Kenya.
Kwa habari zaidi, msikilize ndugu Bwege hapa akihojiwa.
Kwani nakala zilitolewa?Tunawataka Mawakala wa CHADEMA walioshuhudia watupe hizo Nakala, tuchukue kama sample tuone kama Lissu alishinda mbona tunaandikia mate na wino upo, mfano wa Bwege unaonyesha still JPM aliwin 70/67 .....zingine ni bla bla