Selelii awazima Lowassa na Rostam

Bubu Ataka Kusema,Mkandara,FMES,

..I believe we will not get to the bottom of this scandal bcuz Mwakyembe & Co, do not have the full support of the President.

..sasa pamoja na ukweli huo, I dont see "wapiganaji" wakija na plan B.

..vilevile zile kauli za "WAPIGANAJI" kwamba JK ndiyo amiri jeshi wa vita za ufisadi, naamini ni USANII tu. ingekuwa ni hivyo Rostam asingekuwa na jeuri ya kujihusisha na Dowans waziwazi kiasi kile.

..binafsi niko frustrated na serikali, Bunge, pamoja na "wapiganaji."
Mimi ninaona unawaonea hao wapiganaji bure, hali ya kisiasa cha nchi zetu hizi changa ni ngumu kwa mtu yoyote yule kwenda full throttle, kwa sababu ya usiri wa uendeshaji wa Serikali zetu na nyenzo nyingi za habari na ulinzi na usalama kuwa mikononi mwa mafisadi, na pili uelewa mdogo wa wananchi.
Sasa ndio watu pamoja na wabunge wanaanza kuelewa umuhimu wa wao kutumia nguvu au uwezo walio nao katika kulipigania taifa.
mfano angalia sasa hivi tu "hao wapiganaji" wanavyo jaribu kuchafuliwa ili kupunguza makali ya hiyo report, sasa isingekuwa sasa hivi na haya mambo ya wavuti, na blog tungekuwa wapi au wangekuwa wapi hao wapiganaji?
kuhusu Bunge pia lazima uelewe kuna wengine wamekwenda kule hata hawajui wamekwenda kufanya nini? wapo wapo ndio matokeo yake unasikia kauli kama za kina Serukamba, Makongoro, etc na kuna wengine labda hawa zungumzi lakini ukifika wakati wa kupiga kura waaangalia nani aliwapa billioni 2 za kuzima richmond, au kuangalia Kaka yupo upande gani.
Ukiwa frustrated na serikali hapo ni sawa maana tuliwategemea wafanye mambo kwa kufuata ukweli na uwazi lakini sivyo, wametumia heshima tuliowapa na imani yetu kwao kutufisadi.
Sawa na wewe leo Mtoto wako aendewe kinyume na kiongozi wa Dini yako, au unapokuta mtaalamu awe Prof na usomi wake lakini badala ya kuchagua wataalamu kumsaidia anachagua watu au mtu kufuatana na ukabila au faida zake za kikazi.
Halafu kauli ya nani atakuwa mteuliwa CCM , bado ni mapema mno kusema fulani atapita au la mengine ni poroja za kisiasa
 
acheni siasa hapa ripoti ipi iliyo MOTO..basi utakuwa ni moto ambao haaunguzi .ni muda gani tokea ripoti isomwe na hakuna la maana linalofanyika..mapak wahusika wanafikia umri wa kustaafu na wanaondoka wakikabidhiwa mafao yao...kweli tanzania ni kisima cha ngonjera

..........Ulishasema bora ukanywe TUSKER kuliko kupoteza muda wako hapa JF, nashangaa bado upo tu..........hata kusoma na kuelewa kunakushinda au ndio TUSKER zimezidi...........duh
 
Mimi ninaona unawaonea hao wapiganaji bure, hali ya kisiasa cha nchi zetu hizi changa ni ngumu kwa mtu yoyote yule kwenda full throttle, kwa sababu ya usiri wa uendeshaji wa Serikali zetu na nyenzo nyingi za habari na ulinzi na usalama kuwa mikononi mwa mafisadi, na pili uelewa mdogo wa wananchi.
Sasa ndio watu pamoja na wabunge wanaanza kuelewa umuhimu wa wao kutumia nguvu au uwezo walio nao katika kulipigania taifa.
mfano angalia sasa hivi tu "hao wapiganaji" wanavyo jaribu kuchafuliwa ili kupunguza makali ya hiyo report,
sasa isingekuwa sasa hivi na haya mambo ya wavuti, na blog tungekuwa wapi au wangekuwa wapi hao wapiganaji?
kuhusu Bunge pia lazima uelewe kuna wengine wamekwenda kule hata hawajui wamekwenda kufanya nini? wapo wapo ndio matokeo yake unasikia kauli kama za kina Serukamba, Makongoro, etc na kuna wengine labda hawa zungumzi lakini ukifika wakati wa kupiga kura waaangalia nani aliwapa billioni 2 za kuzima richmond, au kuangalia Kaka yupo upande gani.Ukiwa frustrated na serikali hapo ni sawa maana tuliwategemea wafanye mambo kwa kufuata ukweli na uwazi lakini sivyo, wametumia heshima tuliowapa na imani yetu kwao kutufisadi.
Sawa na wewe leo Mtoto wako aendewe kinyume na kiongozi wa Dini yako, au unapokuta mtaalamu awe Prof na usomi wake lakini badala ya kuchagua wataalamu kumsaidia anachagua watu au mtu kufuatana na ukabila au faida zake za kikazi

August! Umeandika vizuri sana, sina cha kuongezea!

Kuna mtu hapa JF simkumbuki! aliishawahi kusema vita zidi ya ufisadi ni ngumu sana, tusipokuwa makini wale vigogo wa ufisadi watatupangia mawaziri, wabunge, na serikali nzima sababu wanapesa na wanajeuri hiyo.
 
Mimi ninaona unawaonea hao wapiganaji bure, hali ya kisiasa cha nchi zetu hizi changa ni ngumu kwa mtu yoyote yule kwenda full throttle, kwa sababu ya usiri wa uendeshaji wa Serikali zetu na nyenzo nyingi za habari na ulinzi na usalama kuwa mikononi mwa mafisadi, na pili uelewa mdogo wa wananchi.
Sasa ndio watu pamoja na wabunge wanaanza kuelewa umuhimu wa wao kutumia nguvu au uwezo walio nao katika kulipigania taifa.
mfano angalia sasa hivi tu "hao wapiganaji" wanavyo jaribu kuchafuliwa ili kupunguza makali ya hiyo report, sasa isingekuwa sasa hivi na haya mambo ya wavuti, na blog tungekuwa wapi au wangekuwa wapi hao wapiganaji?
kuhusu Bunge pia lazima uelewe kuna wengine wamekwenda kule hata hawajui wamekwenda kufanya nini? wapo wapo ndio matokeo yake unasikia kauli kama za kina Serukamba, Makongoro, etc na kuna wengine labda hawa zungumzi lakini ukifika wakati wa kupiga kura waaangalia nani aliwapa billioni 2 za kuzima richmond, au kuangalia Kaka yupo upande gani.
Ukiwa frustrated na serikali hapo ni sawa maana tuliwategemea wafanye mambo kwa kufuata ukweli na uwazi lakini sivyo, wametumia heshima tuliowapa na imani yetu kwao kutufisadi.
Sawa na wewe leo Mtoto wako aendewe kinyume na kiongozi wa Dini yako, au unapokuta mtaalamu awe Prof na usomi wake lakini badala ya kuchagua wataalamu kumsaidia anachagua watu au mtu kufuatana na ukabila au faida zake za kikazi.
Halafu kauli ya nani atakuwa mteuliwa CCM , bado ni mapema mno kusema fulani atapita au la mengine ni poroja za kisiasa


Wapiganaji wanampigania nani?
 
hivi hii nchi ina vyama vya upinzani kweli? au wapo tu wanatolea macho hela za ruzuku ndio maana kila mtu anakuja na chama chake kila siku? kuwa na chama cha siasa umekua mtaji sasa badala kuja kupigania mabadiriko ndani ya nchi.kila kitu kipo wazi no actions.vyama vya upinzani vina uwezo wa kumpa changa moto raisi mpaka hatua zichukuliwe na hapo sisi wananchi tutapata nguvu ya kuwaunga mkono.lakini huu mchezo wa kila siku mambo yanafanyika na tunapiga gumzo tu na siku zinakwenda ndio maana tunafuga viongozi wa ajabu mpaka leo.majina yale yale serikalini yanazunguka tu.

kama raisi anaogopa kuchukua hatua baada kupewa ushaidi kwanini aliangaika kuomba tume iundwe ya kufanya uchunguzi?
 
Mkuu FMES,

Wengine tuna mambo mengi sana ya kupoteza hata kwa kujadili tu hili suala la Richmond. Lakini nitakuwa opportunist na mnafiki kama nitaacha kutoa mawazo yangu na ninayoyaamini kwa faida ya kisiasa. Ni bora kubaki engineer kuliko kuwa mwanasiasa mnafiki na opportunist.

Nimesoma alivyoandika Ogah, sina cha kumjibu zaidi ya kusikitika kwamba lini tutaacha kutafuta motives katika kila maandiko ya watu hapa JF? Maandishi yangu hapa hayana uhusiano mkubwa na siasa za Kyela. Wapiga kura wa Kyela walioko hapa sidhani kama wanazidi kumi. Mambo ya uchaguzi Kyela, tutayajadili huko huko Kyela.

Nikija kwenye point yako, nitashukuru ukinitafutia paragraph inayoongelea masuala ya pesa za Richmond kuingia kwenye account za kampuni za RA na yeye mwenyewe kufuatilia hizo pesa hazina. Mimi sijaiona na nitakuwa happy kusahihishwa kwa facts.

Hii tabia ya kutafuta motives za watu kwenye kila waandikacho inaua mawazo huru JF. Mfano mzuri miaka mitatu tumekuwa tukijadili mawazo yale yale kuhusu Richmond na Watanzania hawataki kusikia mawazo mengine na bado tumekwama pale pale kwenye mduara. Je tunamkomesha Lowassa au RA? Wao wana mapesa mengi kiasi cha kujitengenezea umeme nyumbani kwao au kwenye biashara zao. Vipi Watanzania wengine maskini ambao biashara zao zinakwama kwasababu ya ukosefu wa umeme? Kama tumeshindwa kuwafunga, its time to move on! na kutafuta njia zingine za kutatua matatizo ya Watanzania.
- Ripoti ya Mwakyembe iko wazi kwamba Caspian/Dowans ni Rostam, ambako hela za Richimonduli zilikuwa zikienda na ni Rostam aliyesaini mkataba wa Dowans na serikali,

- Rostam alisaini kwa Dowans na Mgonja kwa serikali, eti mnataka nini tena zaidi ya ushahidi wote huu? au ni wapiganaji ndio wenye makosa hapa?

Respect.

FMEs!
 
Ndugu yangu Mtanzania..........tumia approach nyingine.........hii ya Richmond..........ni MOTO........that would be my advise to you....

Ogah,

Naona tayari umeshahusisha comments zangu hapa na siasa za Kyela. Labda ndio tumefikia hapa kutafuta motives badala ya kuangalia hoja yenyewe. Mimi simtetei Lowassa au RA, ningependa sheria zitumike kuwaweka pale wanapostahili. Ile kamati ilikuwa na nafasi ya kuwafagilia mbali lakini bahati mbaya wakashindwa kuitumia ipasavyo hasa kwa RA.

Kwa mimi itafaa zaidi nikikaa kimya hapa JF na kuficha makucha yangu mpaka nikifanikiwa Kyela. Hiyo ndiyo approach inayofaa Tanzania na ndio imetufikisha hapa tulipo.

Nitakuwa happy kushindwa Kyela na kuendelea na kazi zangu kuliko kuwa mnafiki na opportunist.

Mwulize Engineer kuna wana Kyela wangapi wanasoma JF? Labda yeye anawajua kuliko mimi, lakini nijuavyo mimi kutengeneza approach mpya kwa ajili ya siasa za Kyela itakuwa ni kujidanganya bure.
 
Bubu Ataka Kusema [FONT=Georgia said:

[/FONT]
“Huyu Rostam ndiye aliyetafuta nyumba kwa ajili ya matumizi ya ofisi ya Richmond. Ni yeye aliyelipia pango la nyumba hiyo,” alisema Selelii huku akitolea macho Rostam. Alisema, “Kamati yetu ilihakikishiwa na mtoto wa Mucadam (Hussen Mucadam) ambaye ndiye mwenye nyumba kwamba nyumba iliyotumiwa na Richmond ilipangwa na Rostam.”


Alitaja hata majina ya waandishi hao kuwa ni Gideon Shoo, Jimmy Mdoe na Salva Rweyemamu ambaye sasa ni mkurugenzi wa mawasiliano ya rais.


“Kwa maana nyingine, Dowans, Richmond na Caspian ni baba mmoja mama mmoja.”



Akiongea huku akionekana mwenye hasira, lakini kwa taratibu mno, Selelii alisema, “mnaleta umbeya hapa eti rais hakujua haya. Rais tulimpa ripoti hii kabla ya kuwasilisha bungeni.”



Baada ya kumaliza kuumbua Mahanga, Selelii aligeukia Sophia Simba ambaye alituhumu Kamati Teule kuwa imemuonea Lowassa na kumvua nguo mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela na mumewe Joh Malecela. Katika hilo, Selelii alisema, “Sophia Simba huyu ni mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT). Pia ni waziri anayesimamia utawara bora,” chanzo cha habari ndani ya kamati kinanukuu Selelii. Anasema, “aliyoyasema hapa hayakustahili kutolewa katika kikao hiki. Haya ni maneno yanayopaswa kutolewa kwenye kitchen party. Nimemsikiliza kwa makini, mheshimiwa Simba amezungumza mambo binafsi yanayohusu mtu binafsi,” alisema.



Mbili, Selii alisema, “Sophia Simba amesema hapa kuwa Lowassa ni mwanamme namba moja. Ni mwanamme wa shoka. Akimaanisha kwamba wanaume wote akiwamo rais, waziri mkuu, wabunge na madiwani siyo kitu. Mimi sikubaliani naye. Labda kama mwanamme wa shoka katika masuala mengine,” alisema kwa kujiamini.


Hivi kuna tofauti gani kati ya Sophia Simba na Selelii. Kwa hayo waliyoyasema wote ni wambeya wakubwa. Tena afadhali Sophia Simba ni mwanamke kwa hiyo umbeya toka kwake ni kitu cha kutegemea. Lakini umbeya kwa mwanamume ni aibu tupu.

Hivi haya yaliyoibuliwa ndio yale ambayo Bunge liliambiwa kuwa hayakuwekwa katika ripoti kwa kuogopa kuiumbua Serikali?
 
Hivi kuna tofauti gani kati ya Sophia Simba na Selelii. Kwa hayo waliyoyasema wote ni wambeya wakubwa. Tena afadhali Sophia Simba ni mwanamke kwa hiyo umbeya toka kwake ni kitu cha kutegemea. Lakini umbeya kwa mwanamume ni aibu tupu.

Hivi haya yaliyoibuliwa ndio yale ambayo Bunge liliambiwa kuwa hayakuwekwa katika ripoti kwa kuogopa kuiumbua Serikali?

Hata kuyajua machuya na mchele ni kazi ngumu, pole sana mkuu.
 
mkuu wangu Mtanzania, pole kwa comments unaziona hazipo sawa, ukweli ni kwamba watu wengi tuna-appreciate ripoti ya Kamati ya Mwakyembe ambayo wewe unaonyesha kuto ridhika nayo hasa kwasababu hawakumhoji Rostam. Kumbukaa Rostam alipewa wito 'samansi' lakini aligoma. By the ripoti ile ina-significant impact ktk vita dhidi ya ufisadi. Hivyo kwa wewe kuipinga unafanya watu tuwe na conspiracy mbalimbali.
 
mkuu wangu Mtanzania, pole kwa comments unaziona hazipo sawa, ukweli ni kwamba watu wengi tuna-appreciate ripoti ya Kamati ya Mwakyembe ambayo wewe unaonyesha kuto ridhika nayo hasa kwasababu hawakumhoji Rostam. Kumbukaa Rostam alipewa wito 'samansi' lakini aligoma. By the ripoti ile ina-significant impact ktk vita dhidi ya ufisadi. Hivyo kwa wewe kuipinga unafanya watu tuwe na conspiracy mbalimbali.

Napata shida sana kuelewa wanaoibeza kazi nzuri ya kamati iliyoongozwa na Dr Mwakyembe! Ni mfumo mbaya tulionao ingekuwa nchi zingine kama China RA na EL wameishanyongwa!
 
mkuu wangu Mtanzania, pole kwa comments unaziona hazipo sawa, ukweli ni kwamba watu wengi tuna-appreciate ripoti ya Kamati ya Mwakyembe ambayo wewe unaonyesha kuto ridhika nayo hasa kwasababu hawakumhoji Rostam. Kumbukaa Rostam alipewa wito 'samansi' lakini aligoma. By the ripoti ile ina-significant impact ktk vita dhidi ya ufisadi. Hivyo kwa wewe kuipinga unafanya watu tuwe na conspiracy mbalimbali.

Nemesis,

Hapana, mimi niliridhishwa sana na report ya Mwakyembe na hata ukiangalia mijadala yote ya huko nyuma utaona hilo. Tatizo langu kwasasa ni hizi taarifa mpya zinazotoka na ambazo mimi naziita ni missed opportunity kwasababu laiti zingefuatiliwa zaidi huenda tungekuwa tumeukata mzizi wa fitina wa akina RA kimoja.

Kama RA ndiye kweli pesa zililipwa kwake na mpaka hata kufuatilia hizo pesa hazina, mbona ingekuwa busara kumhoji na kupata ushahidi wake kisha kupendekeza apelekwe mahakamani? Matatizo mengi tunayokumbana nayo sasa ni kwasababu ya hiyo missed opportunity.

Kuna jamaa aliwahi kusema wakati mzuri wa kulinda sheria ni pale zinapomuokoa mbaya wako. Unapo deal na watu ambao kwa njia moja ama nyingine kunaweza kuwa na tofauti zenu, inabidi kuwa makini kuhakikisha wanapewa kila opportunity ya kujitetea. Hata mimi naamini wakati mzuri wa kuitetea sheria ni pale inapomuokoa mbaya wako.
 
Napata shida sana kuelewa wanaoibeza kazi nzuri ya kamati iliyoongozwa na Dr Mwakyembe! Ni mfumo mbaya tulionao ingekuwa nchi zingine kama China RA na EL wameishanyongwa!

Hata huko China wangenyongwa baada tu ya kuhojiwa. Hapa Tanzania "wamenyongwa" hata bila kuhojiwa. What a fair method of dispencing justice.!!
 
Hivi kuna tofauti gani kati ya Sophia Simba na Selelii. Kwa hayo waliyoyasema wote ni wambeya wakubwa. Tena afadhali Sophia Simba ni mwanamke kwa hiyo umbeya toka kwake ni kitu cha kutegemea. Lakini umbeya kwa mwanamume ni aibu tupu.

Hivi haya yaliyoibuliwa ndio yale ambayo Bunge liliambiwa kuwa hayakuwekwa katika ripoti kwa kuogopa kuiumbua Serikali?

Muhusika papa fisadi RA wakati Selelii anatoa ushahidi katika kikao na "Wazee watatu wenye Busara ndani ya CCM" alikuwa pale pale akisikiliza lakini hauthubutu hata kuguna kwa kile kilichokuwa kinasemwa na Selelii kwamba ni umbeya tu na hakuna ushahidi wowote ule!

Lakini wewe mpigia debe ili Serikali inunue mitambo ya Dowans umeliona hilo la umbeya wa Selelii. Kweli watetezi wa mafisadi hawana haya wala hawajui vibaya! watajitahidi kutetea kwa nguvu zao zote hata yale yasiyowezekana kutetea. Papa fisadi kimyaaaa! hata mguno hakuna lakini wewe unamuona Selelii mbeya wa kiume. Mhhhh! Pesa ya mafisadi itawatokea rohoni maana mmesahau na kuweka pembeni kabisa maslahi ya nchi yetu ili mtetee maslahi ya mafisadi!

Na huyo Hussein Muccadam aliyeandikwa hapa na yeye si angeweza kusimama na kukanusha kwamba aliyoyasema Selelii yote ni umbeya mtupu! lakini hatujamsikia akifanya hivyo. Kweli mvunja nchi na Mwananchi!!
 
Mtanzania,
Ni nani wa kumhoji Rostam?.. mkuu kama unajua wazi hakuna mtu CCM ambaye anaweza kumhoji Rostam pasipo yeye kutaka kuhojiwa unategemea kipi kitoke kwenye kamati hiyo. Vyombo vya sheria na rais mwenyewe kwa nini hawa wasimhoji iwe kazi ya kamati ambayo walijaribu kwa kiasi chao wakashindwa.

Yote haya yanayotokea leo ni ktk mlolongo wa tuhuma hizo, ni kazi ambayo ilitakiwa kufanywa na vyombo vyetu vya serikali na sii kamati ambayo ilikuwa na jukumu moja tu. baada ya hapo wanarudi kuwa Wabunge wa kawaida kabisa.
 
Hata huko China wangenyongwa baada tu ya kuhojiwa. Hapa Tanzania "wamenyongwa" hata bila kuhojiwa. What a fair method of dispencing justice.!!

Ha ha ha ha eti mafisadi wamenyongwa! :confused: :confused: Papa fisadi RA kalipwa $172 million kupitia Richmond/Dowans bila kufanya kazi yoyote ile, kachota $40 millioni kwenye ufisadi wake wa Kagoda hata kuhojiwa tu na TAKUKURU hadi hii leo hajahojiwa na Rais wa nchi yuko kimya kabisa kwenye ufisadi wowote ule unaomhusu papa fisadi Rostam, halafu unadai eti "wamenyongwa" huku ukweli tukiujua kwamba bado wanapeta uraiani na kutumia mapesa yao waliyoyapata kifisadi ili kuhonga na kuwanunua wagombeaji ili wawaangushe Wabunge ambao ni wapambanaji dhidi ya mafisadi.

Acha hizo! za kuandika kisichokuwa cha kweli! Hivi hawa mafisadi wangekuwa wamenyongwa wangekuwa bado wanaisumbua nchi yetu kiasi hiki tangu 2006 mpaka hii leo karibu miaka minne sasa kuhusiana na hii issue ya Richmond/Dowans!!!?
 
Mtanzania,
Ni nani wa kumhoji Rostam?.. mkuu kama unajua wazi hakuna mtu CCM ambaye anaweza kumhoji Rostam pasipo yeye kutaka kuhojiwa unategemea kipi kitoke kwenye kamati hiyo. Vyombo vya sheria na rais mwenyewe kwa nini hawa wasimhoji iwe kazi ya kamati ambayo walijaribu kwa kiasi chao wakashindwa.

Yote haya yanayotokea leo ni ktk mlolongo wa tuhuma hizo, ni kazi ambayo ilitakiwa kufanywa na vyombo vyetu vya serikali na sii kamati ambayo ilikuwa na jukumu moja tu. baada ya hapo wanarudi kuwa Wabunge wa kawaida kabisa.

Umesema mkuu, Rostam ni issue, unaposhughulika na huyu jamaa nchi inatikisika. Kamati ya Mwakyembe walifanya kazi kubwa kwa uwezo wao. Mwangwi unaoendelea sasa unadhihirisha namna gani kazi hiyo ilivyokuwa mtego mbaya.

Tanzania imekuwa kama kijiji au kitongoji, huwezi kuamini nchi huru, jamhuri, inayoongozwa kwa katiba kunakuwa na mbabe, alwatani, anayeogofya kama Rostam.
 
Mkandara,

Unaweza kuwa sahihi kwamba RA hata angepelekewa polisi bado angekataa kuhojiwa lakini pia huwezi kujua ukweli bila kujaribu.

Kwa mhusika mkuu kama inavyoonyesha sasa kwenye baadhi ya taarifa, mimi naamini ingekuwa busara kuomba amri ya bunge kumhoji RA baada ya kukataa kuitikia ombi la kwanza.

Sio kwasababu akina RA hawafuati sheria basi na sisi tunaojifanya ni waumini sheria tuamue kupambana nao kwa kukiuka sheria hizo hizo.

Ushahidi wa kiapo wa RA ungelikuwa muhimu mno.

Lakini kikubwa zaidi ifike mahali tuachane na mambo ya Richmond na kusonga mbele. Kama tumeshindwa kuwafunga wahalifu ni bora tukakubali ukweli huo. Lakini kama kuna njia zingine za kuwawajibisha basi zifanyike haraka. Tumepoteza muda mrefu mno kujadili jambo moja huku wananchi wanaendelea kuteseka kwa matatizo mbalimbali. Maamuzi ya wanasiasa wanawajibika wakati wa kura. Kama JK ameshindwa kumshughulikia RA basi kilichobaki ni kumshitaki kwa wapiga kura mwaka 2010. Huu mduara imefika mahali imekuwa sanaa, inafurahisha macho na masikio yetu lakini haumwongezei tija Mtanzania wa kawaida.
Mtanzania,
Ni nani wa kumhoji Rostam?.. mkuu kama unajua wazi hakuna mtu CCM ambaye anaweza kumhoji Rostam pasipo yeye kutaka kuhojiwa unategemea kipi kitoke kwenye kamati hiyo. Vyombo vya sheria na rais mwenyewe kwa nini hawa wasimhoji iwe kazi ya kamati ambayo walijaribu kwa kiasi chao wakashindwa.

Yote haya yanayotokea leo ni ktk mlolongo wa tuhuma hizo, ni kazi ambayo ilitakiwa kufanywa na vyombo vyetu vya serikali na sii kamati ambayo ilikuwa na jukumu moja tu. baada ya hapo wanarudi kuwa Wabunge wa kawaida kabisa.
 
Hata huko China wangenyongwa baada tu ya kuhojiwa. Hapa Tanzania "wamenyongwa" hata bila kuhojiwa. What a fair method of dispencing justice.!!

tk... Lowassa kama angetaka kujitetea angejitetea. Kama angetaka kupewa nafasi ya kuhojiwa angepewa. Hakutaka. Aliamua kuzira. Kamati Teule ya Bunge siyo mwisho wa kazi ya Bunge. Mpaka Bunge linapochukua uamuzi wa kuiunga mkono na kuikubali kazi ya Kamati, basi Ripoti ya Kamati it remains just that.. ripoti tu.

Lowassa na wengine wote walipewa nafasi ya kujitetea hawakuitumia. Hakuna mtu mwingine wa kumlaumu isipokuwa wao wenyewe. Hata leo hii wakitaka kujitetea wanaweza. Walete hoja Bungeni, ushapita mwaka tangu maamuzi yafanyike.
 
Huyu Seleli ndiye anayepaswa kuwa waziri wa ofisi ya Rais na Takukuru, maana alizoitoa ndio tunaita facts, hapa chini hakuna mipasho hizi ni facts
...........

- Bravo Mheshimiwa Seleli, maneno haya hayafutiki na tutayatunza sana, maana ni adimu sana kuyapata katika siasa zetu Tanzania, tumezoea mipasho tu na blah! blah! hapa Mbunge ameweka wazi ukweli sasa ni clear hapa lawama iko kwa nani, iko kwa Rais na Waziri Mkuu wake maana kamati imefanya kazi yake imeweka facts wazi na mapendekezo, lakini hao wawili wameshindwa ku-deal na mapendekezo sasa tatizo ni lao, kuna waliooza CCM lakini sio wote, saafi sana Seleli
Field Marshall Es!

FMES you have called a spade a spade,
JK kazi iko kwako muheshimiwa, the buck stops at Ikulu!!
 
Back
Top Bottom