William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
.
1. Kama Kikwete kwa namna moja au nyingine anawaogopa kuwachukulia hatua wahusika wote wa Richmond/Dowans wakiwemo Lowassa na Rostam basi hatufai kuwa kiongozi wa nchi yetu.
2. Ana madaraka makubwa ya kuweza kumchukulia hatua za kisheria mkosaji yeyote ndani ya nchi yetu kama kuna wavunja sheria wengine ambao anawaogopa basi hafai kabisa kuiongoza Tanzania.
- Maneno mazito sana haya mkuu.
Respect.
FMEs!