Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 26
Huyu nae anatafunwa na mdudu mtu aliyemtafuna mpendazoe, muda wote alikuwa kamanda wa ufisadi sasa anatapatapa,hana jeuli kwa kijana husein bashe naona sasa kaanza ku bwatabwata hiyo yote ni kujiami kwa chaguo la wana nzega jipya.
Huu ni wakati wa vijana wazee watuachio ccm yetu wamfuate mpendazoe.
Nina wasiwasi kama kweli wewe ni kijana na una uchungu na nchi yako kama ndio kwanza unatetea CCM. Au wewe ni mmoja wa hao makamanda?
Halafu hii JF ni ya "thinkers" (some of us are not so great), sasa wewe "ilitret" young boy wafanya nini humu?