johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Makamu mwenyekiti wa NCCR mzee Selasini amesema ni ajbu kwa Kiongozi wa chama cha Siasa kukaa madarakani kwa miaka 20 na zaidi kwani ni kuwanyima Vijana fursa za Uongozi
Mbatia aliwafukuza mzee Mrema na David Kafulila sasa iweje nongwa yeye kuondolewa? Ameuliza Selasini wakati akiongea na Waandishi wa Habari mjini Dodoma
Selasini ameonya vyama vya Upinzani Kuacha kuwasingizia CCM na Usalama kwenye mgogoro huo kwani hayo ni mambo ya NCCR wenyewe
Mbatia aliwafukuza mzee Mrema na David Kafulila sasa iweje nongwa yeye kuondolewa? Ameuliza Selasini wakati akiongea na Waandishi wa Habari mjini Dodoma
Selasini ameonya vyama vya Upinzani Kuacha kuwasingizia CCM na Usalama kwenye mgogoro huo kwani hayo ni mambo ya NCCR wenyewe