johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,982
- 141,997
Makamu mwenyekiti wa NCCR mzee Selasini amesema viongozi wa chama hicho wamekabidhi maisha yao mikononi mwa vyombo vya usalama kwa sababu wametishiwa kushughulikiwa na Vijana wa James Mbatia
Selasini amesema Mbatia ameuza shamba la Chama huko Kiromo Bagamoyo, ameuza pia ghorofa mbili za chama pale Bunju tunataka Takukuru wamkamate
Selasini amesema ni aibu kwa Kiongozi wa chama cha Siasa kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 kama ilivyo kwa Mbatia na mwenzie wa Chama kikuu cha Upinzani
Selasini ameonya vyama vya Upinzani Kuacha kuwasingizia CCM na Usalama wa Taifa muhusika na mgogoro huo
Mbatia aliwafukuza mzee Mrema, Kafulila nk na sasa ni zamu yake, amesisitiza Selasini
Selasini amesema Mbatia ameuza shamba la Chama huko Kiromo Bagamoyo, ameuza pia ghorofa mbili za chama pale Bunju tunataka Takukuru wamkamate
Selasini amesema ni aibu kwa Kiongozi wa chama cha Siasa kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 kama ilivyo kwa Mbatia na mwenzie wa Chama kikuu cha Upinzani
Selasini ameonya vyama vya Upinzani Kuacha kuwasingizia CCM na Usalama wa Taifa muhusika na mgogoro huo
Mbatia aliwafukuza mzee Mrema, Kafulila nk na sasa ni zamu yake, amesisitiza Selasini