joseph selasini

Joseph Roman Selasini Shao (born 6 April 1961) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Rombo constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Sanyambila

    JamiiForums Tanzania Chadema Fukuza Joseph Selasini sasa hivi ni Kirusi chenye ushawishi

    Chadema Fukuza Joseph Selasini sasa hivi Joseph Selasini alikuwa ni miongoni mwa Wanamageuzi 15 waliounda Kamati ya Kitaifa ya Mabadiliko ya Kikatiba, The National Convention for Construction and Reform (NCCR) mwaka 1991, wakiongozwa na Mzee Fundikira, Mtikila, Marando, Lwamwai na wengine...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kauli za Joseph Selasini Shao kuhusu ufisadi na maridhiano zaitia kiwewe Chadema.

    Sote ni mashahidi dhidi ya kuweweseka kwa chama cha demokrasia na maendeleo, chadema baada ya mwanachama wake na nguli wa siasa za Tanzania, senior politician Joseph Selasini Shao, kupendeza kuundwa kwa kamati ya uchunguzi, kuchunguza ufisadi wa heche ndani ya chadema ili kujiridhisha na kujua...
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini ni kirusi ndani ya vyama vya siasa, afutiwe uanachama haraka kabla hajaleta madhara.

    Joseph Selasini alikuwa ni miongoni mwa Wanamageuzi 15 waliounda Kamati ya Kitaifa ya Mabadiliko ya Kikatiba, The National Convention for Construction and Reform (NCCR) mwaka 1991, wakiongozwa na Mzee Fundikira, Mtikila, Marando, Lwamwai na wengine. Kwenye kamati hiyo akiwa na Mabere Marando...
  4. T

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mfukuzeni Selasini na msitishe kupokea wanachama kutoka kwenye vyama vingine

    Kuna hujuma kali sana inafanywa na mauaji kutaka kuisambaratisha CHADEMA. Hii inaonesha kabisa hawa watu sio kwamba wana nia ya kuiponya Tanzania Wala hawajali mauaji waliyoyafanya Octoba 29 CHADEMA kuweni macho sana sana Fukuza wote waliohongwa na kwa sasa hivi msitishe zoezi la kuwapokea...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Selasini aishauri CHADEMA kuhusu maridhiano, asema CHADEMA lazima imshirikishe Rais Samia

    Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Selasini, amesema haiwezekani kukataa maridhiano bila kwanza kuwepo mchakato wa kuyafikia. Amesema mchakato huo unapaswa kuwa na wajumbe, mwenyekiti na ajenda za kujadiliwa, ambapo pande zinazohusika zinaweza kukubaliana au...
  6. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Chadema acheni kurudisha Malaya kwenye Chama wata wacost.

    Hi.GT Nawashauri viongozi wangu wa Chadema. wajikite kufanya kazi na watu wenye mioyo siyo wenye njaa. Chadema ni maarufu tayari haiitaji mtu yeyote maarufu kujitangaza nawashauri waachane na magarasa hata Halima mdee akirudi leo tupilia mbali. Joseph selasini anajulikana kaenda NCCR mageuzi...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Baada ya Miezi Miwili kurejea CHADEMA, Selasini ataka Heche achunguzwe

    Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Selasini, amekitaka chama hicho kutumia vyombo vyake vya ndani kuchunguza tuhuma za kifedha zinazowakabili baadhi ya viongozi wake, akisema hatua hiyo itasaidia kubaini ukweli, kuwasafisha watakaobainika kutokuwa na hatia na kuimarisha...
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi mwanasiasa nguli wa CHADEMA Joseph Selasini Shao?

    Ukimya wake una maana gani kisiasa baada ya kurejea Chadema akitokea NCCR-MAGEUZI, tofauti kabisa na makelele ya wanasiasa wengine wanao tangatanga kama vile mpayukaji Peter Msigwa, anae roporopoka tu kila uchwao angalau awatulize wasio muelewa kuhusu undumilakuwile wake kisiasa? Ukimya wa...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni wakati gani hasa utakua muafaka zaidi kwa Joseph Selasini kuanza kupewa heshima na kutambuliwa kama mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa?

    Tusibiri vikao vya Chama vya kumsimika rasmi au tusibiri mapinduzi tukufu halafu tukutane mahakamani? Kuna haja ya kukumbushana kidogo juu ya katiba ya chadema kuhusu nafasi ya mwenyekiti wa taifa au baada ya nafasi kujazwa? haiwezekani mtu awekeze pesa, muda wake meingi na maisha yake yote...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Huenda Joseph Selasini akawa mwenyekiti wa CHADEMA taifa kwasababu hakuna wa kumzuia wala kumtatiza kuikwaa nafasi hiyo iliyowazi kwasasa.

    Ni suala la muda tu kuanzia sasa, kwa hilo kutokea kulingana na uelekeo wa siasa za Tanzania na ombwe la uongozi linaloonekana wazi hasa ndani ya Chadema taifa. Joseph Selasini anaingia Chadema kama moja miongoni mwa viongozi nguli na waandamizi wa chama hicho cha siasa, wanaokwenda kujitoa...
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania What is real mission of Joseph Selasini to Chadema after he successful managed to lead the removal of J. Mbatia as National chairman of NCCR-Mageuzi?

    What real inspires Joseph Selasini to jet back to Chadema at this time? And who is behind his move? Is he a mole or trojan horse within Chadema circle? Which opportunities did J.Selasini see within Chadema we didn't see them? Can we expect Chacha Wangwe scenarios within Chadema? Can we expect...
  12. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Selasini arudi CHADEMA baada ya kukihama NCCR

    Hili ni kokoro linasomba yeyote yule. Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika kudhoofisha NCCR ya akina Mabere / Mrema miaka ya 1990s Selasini ni bingwa wa siasa za majungu, unafiki na...
  13. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini: CCM wajinga peke yao ambao hawaelewi upinzani imara unazalisha CCM imara zaidi

    Anaandika Joseph Selasini, aliyekuwa mbunge wa Chadema katika jimbo la Rombo (2010-2020). Mbowe anatia aibu. Hao wafuasi wake waliimba kwamba uchaguzi wao ni mfano wa kuigwa. Kumbe dhamira ni yeye na genge lake kuendelea kuiatamia na kuiongoza Chadema kama familia. Waliofungua hii kesi hata...
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Joseph Selasini: Hatususii uchaguzi, muda uliobaki hautoshi kufanya mabadiliko

    Wakuu, Panazidi kuchangamka huko, Baadhi ya vyama vya siasa nchini vimesema haviko tayari kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu kwa kigezo cha marekebisho ya katiba mpya. Haya yamebainishwa mkoani Morogoro na Makamu Mwenyekiti Taifa Chama cha NCCR Mageuzi Joseph...
  15. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini: Wanasiasa wengi wa Upinzani wamekuwa masikini sababu ya kutoa

    Joseph Selasini, Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi amesema kwamba ukiingia kwenye siasa hasa zile za upinzani jiandae kutoa zaidi kuliko kupokea, na wanasiasa wengi wamekuwa maskini kwa sababu ya kutoa.
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini ampiga Marufuku Mwabukusi kuitisha mikutano ya hadhara. Selasini anaunga mkono Bandari kuuzwa

  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini: Watu hawaangalii hoja bali dini ya anayekosoa na anayekosolewa

    Joseph Selasini wa NCCR-Mageuzi amesema kuna tabia imezuka ambayo yanaweza kuhatarisha tunu tulizonazo ikiwemo amani. Amesema kwa sasa mtu akikosoa badala ya kuangalia hoja watu wanaangalia dini ya anayekosoa na dini ya anayekosolewa na kuleta hoja ya udini, suala ambalo si jema kwa ustawi wa...
  18. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini: CHADEMA ilipanga kuua vyama vingine kupitia UKAWA. Hatuwezi kurudia tena makosa ya kuungana nao

    "Muungano ule (UKAWA-2015) ulilenga kuviua vyama vingine na Chadema ndio ilikuwa namba moja kuvimaliza vyama vingine, NCCR Mageuzi haitarudia makosa yale" Joseph Selasini, Makamu M/kiti NCCR Mageuzi. Chanzo: Jambo TV
  19. J

    JamiiForums Tanzania Selasini asema CHADEMA iliviua vyama vingine 2015, Zitto asema ACT Wazalendo haifanyi siasa za kuachiana Majimbo

    Baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe kusema chama chake hakihitaji ushirikiano au muungano na vyama vingine vya upinzani baadhi ya viongozi wa upinzani wamemshukia kama mwewe. Selasini wa NCCR mageuzi amesema 2015 CHADEMA kupitia UKAWA ulikuwa na mkakati wa kuviuwa vyama vingine vya upinzani na...
  20. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Joseph Selasini aomba Mahakama imuongeze muda kesi ya kumlipa Mbatia Tsh. Bil 3

    Makamu Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, Bara, Joseph Selasinametoa ombi hilo katika Mahakama Kuu, Masjala kwa maelezo kuwa bado anakamilisha nyaraka za utetezi. Katika ya msingi namba 184/2022, Mbatia anaiomba Mahakama itamke kuwa tuhuma alizozitoa Selasini dhidi yake ni za uongo, na hivyo imwamuru...
Back
Top Bottom