Sekeseke la mkataba wa Bandari za Tanganyika kuuzwa kwa waarabu linaendelea. Je, Bunge limefuta Hansard za majadala wa kupitisha azimio kuunga mkono?

Uzima Tele

JF-Expert Member
Jan 20, 2023
1,104
2,347
Huku ma RCs na DCs wakiwa wamepewa maagizo ya kusafisha "image" ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyochafuliwa na vumbi la tope la mkataba wa ovyo la kukodisha/kubinafsisha bandari zote za bahari na maziwa makuu yote ya Tanganyika akiziacha za kwao Zanzibar, inasemekana kuwa kumbukumbu (hansard) za bunge juu mjadala wa wabunge kupitisha azimio la kuipa serikali "go ahead" zimefutwa na bunge...

Fuatilia video hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡mpaka mwisho.
 
Huku ma RCs na DCs wakiwa wamepewa maagizo ya kusafisha "image" ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyochafuliwa na vumbi la tope la mkataba wa ovyo la kukodisha/kubinafsisha bandari zote za bahari na maziwa makuu yote ya Tanganyika akiziacha za kwao Zanzibar, inasemekana kuwa kumbukumbu (hansard) za bunge juu mjadala wa wabunge kupitisha azimio la kuipa serikali "go ahead" zimefutwa na bunge...

Fuatilia video hii mpaka mwisho.
View attachment 2674505
inasemekana kuwa kumbukumbu (hansard) za bunge juu mjadala wa wabunge kupitisha azimio la kuipa serikali "go ahead" zimefutwa na bunge...

What a landslide victory...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku ma RCs na DCs wakiwa wamepewa maagizo ya kusafisha "image" ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyochafuliwa na vumbi la tope la mkataba wa ovyo la kukodisha/kubinafsisha bandari zote za bahari na maziwa makuu yote ya Tanganyika akiziacha za kwao Zanzibar, inasemekana kuwa kumbukumbu (hansard) za bunge juu mjadala wa wabunge kupitisha azimio la kuipa serikali "go ahead" zimefutwa na bunge...

Fuatilia video hii mpaka mwisho.
View attachment 2674505
Kama hili likithibitika am sure wataandamana kumpongeza mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Next time acha uchuro, andika kwa mutasari kilichomo kwenye hiyo sinema, tulishakubaliana DPW wanafanya maisha ya internet kuwa mazito bundle hazitoshi, so sikiliza mwenyewe alafu weka hapa kwa ufupi.

Although sitaki kucheka wala kusikitika eti, hansard kufutwa mmh?
.
 
Huku ma RCs na DCs wakiwa wamepewa maagizo ya kusafisha "image" ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyochafuliwa na vumbi la tope la mkataba wa ovyo la kukodisha/kubinafsisha bandari zote za bahari na maziwa makuu yote ya Tanganyika akiziacha za kwao Zanzibar, inasemekana kuwa kumbukumbu (hansard) za bunge juu mjadala wa wabunge kupitisha azimio la kuipa serikali "go ahead" zimefutwa na bunge...

Fuatilia video hii mpaka mwisho.
View attachment 2674505
Kusoma heading tu inatosha kujua hakuna jipya hapo.
Endeleeni tu vithread vyenu but peoples are busy na mambo yao na starehe zao na ukizingatia washashiba minyama ya Eid
 
Msaada wa Dola za Marekani milioni 500 kupitia Mkataba wa Makubaliano uliosainiwa kati ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kampuni ya usafirishaji ya DP World ya Dubai, utafadhili miradi mbalimbali inayolenga kuboresha ufanisi wa bandari za Tanzania. Kampuni hiyo ina utaalam wa usafirishaji wa mizigo, shughuli za bandari, huduma za baharini na maeneo ya biashara huria. Makubaliano ya msaada huo yalitiwa saini katika maonyesho ya Dubai Expo kati ya Mkurugenzi Mkuu wa TPA Eric Hamissi na Ofisa Mtendaji Mkuu wa DP World Sultan Ahmed Bin Sulayem na kushuhudiwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Fedha za mkataba huo zitatumika katika kuendeleza bandari za Tanzania, zikilenga maeneo muhimu ya habari na mawasiliano, mifumo ya teknolojia (ICTs), mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa TPA na uboreshaji wa miundombinu ya bandari. Fedha hizo pia zinatarajiwa kuziwezesha bandari za nchi kuongeza uwezo wa kiushindani katika ngazi ya kikanda na kimataifa na kuboresha huduma.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya ccm ikitaka lake inafanya tu hakuna Wananchi,Bunge wala Mahakana inaweza izuwia. Mfano mdogo uchaguzi wa 2020

Ufaransa mtu kapigwa risasi na polisi tu huko kinawaka sasa wangesema DP World ndio wanapewa bandari yao milele ingekuwaje huko.
 
Huku ma RCs na DCs wakiwa wamepewa maagizo ya kusafisha "image" ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyochafuliwa na vumbi la tope la mkataba wa ovyo la kukodisha/kubinafsisha bandari zote za bahari na maziwa makuu yote ya Tanganyika akiziacha za kwao Zanzibar, inasemekana kuwa kumbukumbu (hansard) za bunge juu mjadala wa wabunge kupitisha azimio la kuipa serikali "go ahead" zimefutwa na bunge...

Fuatilia video hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡mpaka mwisho.
View attachment 2674505
Uliskia siku wamesema wameahirisha kisa kengele ya dharura imeashiria hatari ulipata akili kwamba walikuwa wanakwepa kitu gani!
 
Acha utani mkuu , tuwikilize dk 59 zote ?!?
Chagua dakika zako za kusikiliza ila usikoment chochote kwa sababu hutakuwa umweelewa..

Ni heri kusikiiza zaidi kuliko kuwa mwandikaji au msemaji zaidi..
 
Back
Top Bottom