Seif foundation Lengo kuu ni kuenzi fikra za Hayati Maalim Seif... Vipi kuhusu kuenzi fikra za Magufuli?

Fikra za kuifanya Zanzibar ijitenge?

Fikra za serikali tatu badala ya moja?

Hata Karume fikra zake nzuri za kuifanya Zanzibar kuwa nchi ya maziwa an asali zimetupiliwa mbali na uongozi uliofuata.

Majengo ya ghorofa pale michenzani yaliyojengwa kwa ajili ya Wazanzibari wasio na kipato cha kutosha sasa hivi yana kaliwa na wenye ukwasi ambao pia wanawakodisha wengine huku maskini wakiishi kwenye vijumba vya mbavu za mbwa huko miferejini nk
Kwenye hili wanaouza hizo nyumba ni hao"masikini"waliopewa nyumba na Serikali baada ya nyumba zao kuvunjwa kupisha ujenzi wa nyumba za Michenzani.
 
Magufuli alikuwa ni Raisi wa bahati mbaya, na ni kwasababu ya CCM infighting, hana chochote zaidi ya kurudisha Ukabila na Chuki dhidi ya Watanzania wenye mtizamo tofauti.


Membe mwenyewe kayaanika kuwa alikuwa ni mwenye roho mbaya.

Bogus kabisa yule.
Acha chuki wewe hazitakusaidia..huoni miradi mikubwa aliyoanzisha jifunze kuchukua positive things itakusaidia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mdau mmoja kaniuliza na mm nimeona n vyema niulizane na wenzangu ambao ndio Jf (yaan ww unaesoma)

Tumeshuhudia namna ambayo watu wametumia kuenzi fikra za Maalim Seif na kwamba itakuwa ni endelevu, na kiukweli ni kitu kizuri sana..

Sasa hoja kubwa ni kuhusu aliyekuwa Raisi wa hawamu ya 5 Mr JPM... Vipi kuhusu mkakati wa kuzilinda Fikra zake, je WanaCCM, Watanzania, Wanaharakati, Wanasiasa, Wanazuoni, na wengineo wote hawajaona umuhimu wa kuzienzi fikra za JPM..
Je, ni vyema tukaziacha fikra zake pia ziendezake?

Au labda mm nimepitwa na Mpango ama mkakati huo wa kuenzi fikra za JPM itakuwa vyema nikataharifiwa na yeyote anaeujua...

Kwan Heshima aliyokuwa akipewa kila kona ya Nchi hii kipindi cha uhai wake hazikutokana na uhodari wa fikra zake ktk kuliongoza taifa hili??

Kama ni kweli fikra zake zilikua hodari ktk kutatua changamoto za taifa hili kwnn zisitafutiwe namna bora ya kuenziwa??
Mkuu kwa kuanzia tu tujiulize na tupate kufahamu, Je! Huyo jamaa ni marehemu ama hayati?
 
Limkapa kwani halijaua ? Yote ni mi jesuit miuaji pamoja Na kinara wao Laanatullahi Nyerere
Hivi ule mchakato wa kumtunikia utukufu yaani kua mtakatifu mwalimu uliishia wapi 🤣🤣🤣

Waacheni hawa wa2 wapumzike jamani na tuwaombee toba hii mizigo mingine tunayotaka kuwabebesha tuache
 
Acha chuki wewe hazitakusaidia..huoni miradi mikubwa aliyoanzisha jifunze kuchukua positive things itakusaidia.

#MaendeleoHayanaChama
Membe anasema jiwe alikua nyuki yaani anatengeneza asali tu 🤣🤣🤣

Raisi wa miundombinu 🤣🤣🤣
 
Magufuli alikuwa ni Raisi wa bahati mbaya, na ni kwasababu ya CCM infighting, hana chochote zaidi ya kurudisha Ukabila na Chuki dhidi ya Watanzania wenye mtizamo tofauti.


Membe mwenyewe kayaanika kuwa alikuwa ni mwenye roho mbaya.

Bogus kabisa yule.
Bogus ni babaako na mamaako waliozaa mtoto bogus ambaye amejaa wivu na husda.
 
Mdau mmoja kaniuliza na mm nimeona n vyema niulizane na wenzangu ambao ndio Jf (yaan ww unaesoma)

Tumeshuhudia namna ambayo watu wametumia kuenzi fikra za Maalim Seif na kwamba itakuwa ni endelevu, na kiukweli ni kitu kizuri sana..

Sasa hoja kubwa ni kuhusu aliyekuwa Raisi wa hawamu ya 5 Mr JPM... Vipi kuhusu mkakati wa kuzilinda Fikra zake, je WanaCCM, Watanzania, Wanaharakati, Wanasiasa, Wanazuoni, na wengineo wote hawajaona umuhimu wa kuzienzi fikra za JPM..
Je, ni vyema tukaziacha fikra zake pia ziendezake?

Au labda mm nimepitwa na Mpango ama mkakati huo wa kuenzi fikra za JPM itakuwa vyema nikataharifiwa na yeyote anaeujua...

Kwan Heshima aliyokuwa akipewa kila kona ya Nchi hii kipindi cha uhai wake hazikutokana na uhodari wa fikra zake ktk kuliongoza taifa hili??

Kama ni kweli fikra zake zilikua hodari ktk kutatua changamoto za taifa hili kwnn zisitafutiwe namna bora ya kuenziwa??
Ulishaona wapi fikra za mwendawzimu zikadumishwa?

Huyo Magu hakuwa na fikra yoyote zaidi ya kuua,kuiba,chuki kwa upinzani nk
 
Nilikuwa na elimisha tu kwamba foundation inaanza na familia. Lakini ni kwa muda na jambo wanalotaka wenyewe mfano mkapa ilikuwa kwenye afya…. Foundation huwezi kufanya kwa ushabiki maana itakuwepo miaka mingi ijayo. Cha kujiuliza familia ni je angekuwepo angependa foundation ya nini hasa? Hili swali sijui kama wanalijua bado ndani ya familia. Binafsi wakienda kwenye afya maana Magufuli alipata tatizo la moyo akiwa mdogo sana.

Magufuli ameacha nini? Ameacha wizi wa Tsh 2.4 Trilion, chuki dhidi ya upinzani, ubaguzi wa maendeleo kwa kupendelea Chato, umalaya kwa akina Jokate na Kairuki, matusi kwenye majukwaa, kuropoka, ubishi wa Corona mpaka imemuua, uuaji wa akina Ben Saanane na Azory Gwanda, utekaji wa akina MoDewji, maonezi kwa akina Eric Kabendera na Tito Magoti na dharau kwa wanawake tu.

Atakumbukwa kwa UDIKTETA, kukandamiza Demokrasia, Wizi wa uchaguzi Serikali za Mitaa 2019, wizi wa kura uchaguzi Mkuu 2020, kuvunja Katiba, kudhibiti Bunge na kuitishia Mahakama. Vilevile kuminya uhuru wa kujieleza na kuitishia vyombo vya habari.

Nani atanikamata leo nikisema Magufuli alikuwa muuaji? Hakuna kwa vile Rais SSH anakubali kukosolewa kwa misingi ya Sheria. Ila wapumbavu kama wewe wanafiria kumuanzishia FOUNDATION
 
Back
Top Bottom