Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Kaletwa? Mbona alisema alikua anajaribu akasukumiwa huko 🤣🤣🤣
Kumbuka alipewa ilisemekana kwamba kaletwa na Mungu kuliokoa Taifa letu..... Yaan mtu aliyeletwa kwa kazi maalumu duniani... tunashindwa kutambua fikra zake kwa kuzienzi ktk namna ya heshima na endelevu.