Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Hizo zinajulikana kama ni sehemu za kujiuza na kununua
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!

Mkuu hata wanaoenda huku wanajua wanaenda kufanya nini........Kuna service nyingine hauwezi kupewa na mwenza wako zaidi ya huko kwenye "masaji" .....Heshimu biashara za watu waache wajiingizie kipato maana haufungwi kamba kwenda pale ,unaenda kwa ajili ya masaji kama ukihitaji huduma ya ziada hayo ni mambo yao ambayo hata kwenye daladala watu wanatongozana.
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Usipo weka mkasa walau kidgo kwa uliyo yaona huu utakuwa ni umbea ......
 
Kuna saluni inaitwa bahari barbershop Kuna totoz pale nikiwa na magenye naendaga tu pale kufanyiwa massage na shoo napewa saaaaafi

Unaharibu soko na uhusiano wa watu ,imagine mtu ana mkewe/GF/Mchumba wake anafanya kazi hapo unamuweka kwenye mazingira gani? Pia kuna watu wanaenda kwa ajili ya kunyoa coz ina mazingira mazuri na ipo barabarani je ushasema kwamba totoz za hapo zinatoa mzigo hauoni kwamba watu wanaoenda kunyoa wataogopa?
 
Sio kila kitu serikali iangalie, kama mtu mzima na timamu kaamua kwenda masaji rooms ni utashi wake umehitimisha hivyo provided hamna mtu aliyelazimishwa kwenda huko.

Hatuwezi wote kuishi kwenye tamaduni sawa, au kuishi kwenye system ya maisha inayofanana.
Hakika
 
Kwanini umruhusu mkeo/ mumeo aende kufanyia massage wakati wewe mwenyewe unaweza kum- massage? Haingii akilini kbsa
Massage ni kazi professional kabisa. Watu wa massage wanatumika zaidi kwenye michezo. Massage ukiikosea inaweza kuharibu mishipa na kuleta matatizo makubwa. Kwenye kambi za riadha ni kawaida kukuta msichana yuko na kichupi anafanyiwa massage huku chumbani kukiwa na wanaume pia. Tatizo ni fani kuvamiwa na wazinzi waliobadilisha massage kuwa jambo la kuchochea uzinzi.

Enzi nikiwa mdhambi nilikuwa naenda massage pale Magomeni Usalama ila lengo likiwa kumla yule dada wa massage. Wazinzi tulimtajirisha yule dada. Ni kama na yeye aliingiza hisia juu yangu tukawa karibu sana akawa ananieleza kinachoendelea mle. Baadae tukawa wapenzi ila kwa masharti ya kutoingilia kazi yake. Bahati nzuri penzi lilivunjika tukabaki tu na urafiki na pia nikaachana na uovu. Nikivuna mbaazi zangu nitakuja Dar kumtembelea.
 
Tatizo ni serikali kuruhusu watu holela kujiingiza kwenye biashara hii, Inatakiwa mtu profesional aliyesomea na kuhitimu. Ina miiko yake ambayo ni lazima ifuatwe!. Kinyume chake malaya ndo wanafanya kazi hiyo, wanachojua ni kushika shika watu tu! Kwanza mhudumu wa massage hapaswi kuwa uchi uchi, Anapaswa avae rasmi kama nesi!! Hapaswi kukushika sehemu chini ya kiuno!!
 
Back
Top Bottom