Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Hakuna sehemu yenye utulivu na starehe Kama sehemu ya massage. Nawashangaa mnao kunywa pombe . Mambo iko kwa massage.
 
Labda serikali iingilie kati pale ambapo imebainika kuna watoto wa shule au watoto wadogo wamehusishwa kwenye uovu huo!
Vinginevyo huo ni utashi wa mtu binafsi kwenda huko!
 
Kwa taarifa Yako mi pale Martha wellness sinza nishakula wapatao watano na watatu kati yao niliwapelekea moto mtaroni huku mmoja kati ya hao niliowapelekea mtaroni akinihamasisha mwenyewe niingize mtaroni.Shenzi sana
Uliwapa bei gani?
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
2023 ndio unatoa angalizo la hayo madanguro ya mchongo? Unatokea kijiji gani wewe?
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Hata maofisini, makanisani, misikitini na kwenye kwaya Kuna watu wapo kwa ajili ya kazi na wengine kwa ajili ya ukahaba. Kwanini ukomalie kwenye sehemu za massage tu? Pumbavu!
 
Kwa taarifa Yako mi pale Martha wellness sinza nishakula wapatao watano na watatu kati yao niliwapelekea moto mtaroni huku mmoja kati ya hao niliowapelekea mtaroni akinihamasisha mwenyewe niingize mtaroni.Shenzi sana

Duh… naona unatiket yako ya motoni lbd utubu kbl ya kuwa mwendazake. .
 

Attachments

  • download (13).jpeg
    download (13).jpeg
    4 KB · Views: 9
  • images (67).jpeg
    images (67).jpeg
    28.3 KB · Views: 8
Sio kila kitu serikali iangalie, kama mtu mzima na timamu kaamua kwenda masaji rooms ni utashi wake umehitimisha hivyo provided hamna mtu aliyelazimishwa kwenda huko.

Hatuwezi wote kuishi kwenye tamaduni sawa, au kuishi kwenye system ya maisha inayofanana.
Suluhisho, ni kutoa Elimu hii Bure, Tena Wizara husika ilisimamie hili, lengo Kila mtu ajue namna ya kufanya massage kama Kila mtu anavyojua kupiga mswaki. Hii itasaidia wenza kufanyiana massage wenyewe nakadhalika.

Pia amri itolewe kama ni lazima kufanya massage Nje ya makazi yako basi iwe ni hospital tu!

Na hapo utakuwa umeua uhuni aosemwa kwenye sehemu husika.
 
Back
Top Bottom