FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
But it is the safest means of transport..Yesu wangu. Safari ya Mwanza Dar tu huwa inanipaga uchizi angani. Masaa kumi ntaenda kabisa kuungama na kupakwa mafuta kanisani. nawaza kutekwa, mara plane imecrash. Plane si kitu kizuri kabisa basi tu