Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Jiandae weekend hii....Ewaaaa
Ndo maana nakupenda mchepuko wangu
Jiandae weekend hii....Ewaaaa
Ndo maana nakupenda mchepuko wangu
katikati ila nilitaka kukuonyesha ajali watu walipona... nimeziskia nyingi saana.... angalia statistics za aircraft crashes zipo nyingi hiyo nimeikumbuka maana mtoto alitia gumzo... walipona wawili ila huyo mwingine alikuja kufariki hosp.Mkuu, huyu mtoto alikua amekaa wapi??
1/103 x 100%
=0.97%
Seriously hujui ajali ambazo watu wamepona? Hii niliopata hizi information watu zaidi ya 80 walipona, wengi wao waliokaa nyuma. Ajali nyingitu zina survivors, kwasababu huwa naangalia sana NatGeo nitakuwa naleta hapa.
katikati ila nilitaka kukuonyesha ajali watu walipona... nimeziskia nyingi saana.... angalia statistics za aircraft crashes zipo nyingi hiyo nimeikumbuka maana mtoto alitia gumzo... walipona wawili ila huyo mwingine alikuja kufariki hosp.
Unaenda Zanzibar kikazi/biashara utapanda ndege au Meli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole Ngosha. Lakini kwa huko uliko huo ndio usafiri pekee wa haraka. Hatuchekani. Sipendi sana kusafiri kwa ndege kama kwenda sehemu kama kuna usafiri mbadala! Nukta
Namba sijaweka mimi. Ni watafiti wakiwemo NTSB kama unawajua. Na wengi hamjaelewa. Waliposema 69% waliokaa nyuma wanasurvive ni kwamba katika wale waliosurvive hata 10 wenhi ni waliokaa nyuma.Sijasema hakuna ajali zenye Survivors, hata hapa Tanzania zinatokea sana ajali na haziui hata mtu mmoja.
Ila nachowaza ni kua hizi namba ulizoweka hapa zimekaa kati kati mno.
hizi data zipo sahihi kwa mujibu wa review zao sema tunaona asilimia zipo juu maana tunadhani ajali za ndege ni zile zinazodondoka tu kutoka juu maana hizi nyingi ndizo zinauaga karibu wote...Sijasema hakuna ajali zenye Survivors, hata hapa Tanzania zinatokea sana ajali na haziui hata mtu mmoja.
Ila nachowaza ni kua hizi namba ulizoweka hapa zimekaa kati kati mno.
Namba sijaweka mimi. Ni watafiti wakiwemo NTSB kama unawajua. Na wengi hamjaelewa. Waliposema 69% waliokaa nyuma wanasurvive ni kwamba katika wale waliosurvive hata 10 wenhi ni waliokaa nyuma.
Haina,maana kuwa ajali ikitokea 69% watapona. Kwahio ukikaa nyuma una 69% kupona kuliko wa mbele mwenye 40+% in case kuna watakaopona.
My Point ni kwamba kwenye ajali ya Ndege ni either wafe wengi sana (above 95%), au wafe wachache sana (Not more than 5%) kulingana na Impact ya ajali. Hapa nazungumzia kwa Ujumla wake Ndege nzima wakiwemo hao waliokaa mnaosema uwezekano wa kupona ni 69%.hizi data zipo sahihi kwa mujibu wa review zao sema tunaona asilimia zipo juu maana tunadhani ajali za ndege ni zile zinazodondoka tu kutoka juu maana hizi nyingi ndizo zinauaga karibu wote...
kuna kama hizi April 13 – Merpati Nusantara Airlines Flight 836, a Boeing 737, overruns the runway at Rendani Airport in Indonesia; all 103 people on board survive, with 23 injured, three of them seriously. nazo zilijumuishwa....
Nadhani kuna sababu za kitaalamu kwanini wa nyuma wananafasi kubwa ya ku-survive ukilinganisha na wa mbele.
Cc barafu
Itanibidi ninywe mpaka nizime la sivyo nitasali na kulia safari nzima.
Bado hujaelewa tu? Hio ni percent ya survivors. Kama wamepona 10 69% yao walikaa nyuma. Watu wagunu sana kuelewa.My Point ni kwamba kwenye ajali ya Ndege ni either wafe wengi sana (above 95%), au wafe wachache sana (Not more than 5%) kulingana na Impact ya ajali. Hapa nazungumzia kwa Ujumla wake Ndege nzima wakiwemo hao waliokaa mnaosema uwezekano wa kupona ni 69%.
Perhaps kama mna mfano dhahiri ambao unaonyesha wangapi Walikaa Nyuma wakapona na wangapi walikaa mbele wakafariki.
Umeambiwa toa mfano dhahiri kuthibitisha hili,Bado hujaelewa tu? Hio ni percent ya survivors. Kama wamepona 10 69% yao walikaa nyuma. Watu wagunu sana kuelewa.
Kweli?
Sina uzoefu na ndege za masafa, safari zangu zote ni local, na huwa naona siti namba inakuwa generated kwenye checking, sina uhakika kama unaweza kujichagulia.
Which is the safest seat on an aircraft?My Point ni kwamba kwenye ajali ya Ndege ni either wafe wengi sana (above 95%), au wafe wachache sana (Not more than 5%) kulingana na Impact ya ajali. Hapa nazungumzia kwa Ujumla wake Ndege nzima wakiwemo hao waliokaa mnaosema uwezekano wa kupona ni 69%.
Perhaps kama mna mfano dhahiri ambao unaonyesha wangapi Walikaa Nyuma wakapona na wangapi walikaa mbele wakafariki.
Hahahaahaa. Kwamba wazigua tu washamba sana mkuu?Ahaaaaaa, kweli wewe ni mzigua!
Nenda NatGeo channel katafute, hio ndio source.sina bundle la kukuwekea hio documentary.
Haya bana
Hahahaha naona unatambaa na biti... Jamaa muongo sana weweAisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.