Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

Boeng is just a make like Airbus Bombardier rtc.
Watu wengi wanakimbilia madirishani so automatically ndege itabalance, hamuwezi wote kukaliana nyuma au madirishani. Kumbuka ndege inaweza kuwa na abiria wachache lakini chini mizigo imejaa na ime balance.

Kuna nyakati zingine, kama ndege haijajaa, wahudumu na marubani huwa wanawaomba abiria wahamie siti singine ili ndege iweze ku balance uzito vizuri.
 
Boeng is just a make like Airbus Bombardier rtc.
Watu wengi wanakimbilia madirishani so automatically ndege itabalance, hamuwezi wote kukaliana nyuma au madirishani. Kumbuka ndege inaweza kuwa na abiria wachache lakini chini mizigo imejaa na ime balance.
Aise mbona umekazana kunibishia tu as if mimi naunda Ndege.

Nakuelezea situation niliyo kutana nayo kwenye moja ya Ndege, mimi nilikuwa ni abiria tu Kaka.

Tulikaa according to tiketi zetu, kabla Ndege kuondoka tukaelekezwa namna ya kukaa tofauti na zile tiketi.
 
Mwanzo nilikuwaga naona raha ila baada ya kuzoea huwa natamani yapite haraka,... kama zile route za masaa 7
 
Aise mbona umekazana kunibishia tu as if mimi naunda Ndege.

Nakuelezea situation niliyo kutana nayo kwenye moja ya Ndege, mimi nilikuwa ni abiria tu Kaka.

Tulikaa according to tiketi zetu, kabla Ndege kuondoka tukaelekezwa namna ya kukaa tofauti na zile tiketi.
Sawa.
 
Kuna nyakati zingine, kama ndege haijajaa, wahudumu na marubani huwa wanawaomba abiria wahamie siti singine ili ndege iweze ku balance uzito vizuri.
Vile vile sio kila mtu atapata option ya kuchagua kiti, ni wale wa mwanzo mwanzo tu, baadae utakaa itakapopatikana nafasi
 
Kutoka Jberg Afrika kusini hadi Perth Australia ni masaa 18 upo juu hujaiona nchi.
Sasa safari kama hiyo nisipozima naweza nikafa hata kabla hatujafikisha masaa matano ya safari. Mimi muoga tena sio muoga kidogo dogo muoga haswaaa. Kitu ambacho hakiniogopeshi sana ni boat/meli. Ila ndege sijui magari hapana. Gari toka nimepata ajali uoga umekua mara kumi.
 
Ndege ndio usafiri salama zaidi duniani, maelfu ya ndege yanasafiri duniani kila siku, lakini unaweza kukaa wiki hujasikia ajali yyte, tofauti na gari na train
Unajua kitu kinaitwa ratio? Idadi ya magari dunuani.Ni ?mara 25 ya ndege sasa wapi pataonekana ajari nyingi??
 
Mkuu nakwambia.system ndo inadecide.seat yako kutegemea na booking spaces zilizobaki, pia wakati wa check in wao wanaprint tu ticket inatoka.na.jina.,hi siyo basi kusema utaambia konda akupe seat, mara zote naletewa seat number automatically kwenye boarding pass
 
Huwa nipo comfortable zaidi nikiwa barabarani tena nadrive mwenyewe japo najua kuna mabazazi wanaweza kuniletea shida. Angani kule juu acha tu na huwa sipo comfortable hata kwa 75%. Ajari huwa ni mara chache ndio ila ikitokea tu, survival chances are almost none.
 
Haujichagulii pa kukaa.
si kweli... ndege unapewa option ya kuchagua seat no... na zinatofautiana charge kutoka seat moja na nyingine (mara nyingi inakua row kwa row au window seat vs aisle).... jaribu kufanya kama una-book international airlines...
 
Mkuu nakwambia.system ndo inadecide.seat yako kutegemea na booking spaces zilizobaki, pia wakati wa check in wao wanaprint tu ticket inatoka.na.jina.,hi siyo basi kusema utaambia konda akupe seat, mara zote naletewa seat number automatically kwenye boarding pass
Hivi pamoja na maelezo ya watu mbali mbali humu bado unakataa hamna option ya kuchagua kiti kwenye ndege?

Haya nimebook fast jet hapo angalia

fastjet
 
Hii program huwa siikosi hasa jumapili,, nilichogundua ndege kuanguka husababishwa na vitu vidogo Sana ambavyo huwezidhania,,,
NI usafiri very perfect kusipotokea shida, na ndege ikipata shida NI usafiri deadly 100%
Hicho Kipindi kinarushwa channel gani Mpendwa, na kipo ktk ving'amuzi gani??? Na Kipindi kipo siku gani?? Samahani kwa usumbufu
 
Hizi ni percentage. Kwa cases za baadhi ya abiria kupona wengi wao wabakuwa walikaa nyuma.
 
Ndege ni usafiri salama zaidi duniani. Lakini ajali yake kupona ni kazi sana.
Kwa utafiti wa wataalam sehemu utakayokaa kwenye ndege ina nafasi kubwa sana kuamua uhai wako.

Igawe ndege mara tatu, kipande cha mbele,kati na nyuma.

1. Ukikaa mbele nafasi ya kupona ni 49%

2.Ukikaa kati nafasi ya kupona ni 56%

3.Ukikaa nyuma nafasi ya kupona ni 69%

Vile vile siti ya koridoni ni salama zaidi kuliko dirishani.
Jitahidi usikae zaidi ya mistari mitano kutoka mlango wa dharura.

Wanasema ndege ikianguka sehemu ya nyuma inameguka mara nyingi inabaki salama, sehemu ya kati kwa sababu ndio kuna tank la mafuta ndio huwa inaungua sana, sehemu ya mbele ndio ya kwanza kukutana na impact mfano kwenye crash landing.

Source: NatGe Air Crash Investigation
Kwanini first Na business class hawaziweki mkiani?
 
Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.

Nilihisi ndo basi tena.

Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.

Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Safari Kwa info acha kujidekeza
 
Kwanini first Na business class hawaziweki mkiani?
i have no idea. kama swali lako linahusiana na hii tafiti, ndege zilitengenezwa hivyo kabla ya hii tafiti.
 
Back
Top Bottom