Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,210
Hujawahi kupanda hata hivi vidogo mkuuSiku yako ikifika imefika tuu, lakini tahadhari ni muhimu pia!!!!
Ngoja nikariri siku nikibahatika kuipanda nikae koridoni!!!
Hujawahi kupanda hata hivi vidogo mkuuSiku yako ikifika imefika tuu, lakini tahadhari ni muhimu pia!!!!
Ngoja nikariri siku nikibahatika kuipanda nikae koridoni!!!
Hivi vinakuwa free sitHaujichagulii pa kukaa.
Hapo unaweza kujikuta unaongea kiarabu bila kutegemea...Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Nakutumia tiketi....Siku yako ikifika imefika tuu, lakini tahadhari ni muhimu pia!!!!
Ngoja nikariri siku nikibahatika kuipanda nikae koridoni!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole Ngosha. Lakini kwa huko uliko huo ndio usafiri pekee wa haraka. Hatuchekani. Sipendi sana kusafiri kwa ndege kama kwenda sehemu kama kuna usafiri mbadala! NuktaAisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Hapo unaweza kujikuta unaongea kiarabu bila kutegemea...
Yote ya yote ajali nyingi za Ndege hua wanafariki WOTE, hakuna anaeponagaNdege ni usafiri salama zaidi duniani. Lakini ajali yake kupona ni kazi sana.
Kwa utafiti wa wataalam sehemu utakayokaa kwenye ndege ina nafasi kubwa sana kuamua uhai wako.
Igawe ndege mara tatu, kipande cha mbele,kati na nyuma.
1. Ukikaa mbele nafasi ya kupona ni 49%
2.Ukikaa kati nafasi ya kupona ni 56%
3.Ukikaa nyuma nafasi ya kupona ni 69%
Vile vile siti ya koridoni ni salama zaidi kuliko dirishani.
Jitahidi usikae zaidi ya mistari mitano kutoka mlango wa dharura.
Wanasema ndege ikianguka sehemu ya nyuma inameguka mara nyingi inabaki salama, sehemu ya kati kwa sababu ndio kuna tank la mafuta ndio huwa inaungua sana, sehemu ya mbele ndio ya kwanza kukutana na impact mfano kwenye crash landing.
Source:NatGe Air Crash Investigation
Sawa. Lakini utafit huu ni kwa ajali ambazo zina walionusurika.Yote ya yote ajali nyingi za Ndege hua wanafariki WOTE, hakuna anaeponaga
So nadhani ilipaswa kua,
1. Ukikaa mbele nafasi ya kupona ni 0%
2.Ukikaa kati nafasi ya kupona ni 0%
3.Ukikaa nyuma nafasi ya kupona ni 0%
May 12 – Afriqiyah Airways Flight 771, an Airbus A330, crashes on landing at Tripoli International Airport, killing 103 on board; the sole survivor is a child from the Netherlands....Yote ya yote ajali nyingi za Ndege hua wanafariki WOTE, hakuna anaeponaga
So nadhani ilipaswa kua,
1. Ukikaa mbele nafasi ya kupona ni 0%
2.Ukikaa kati nafasi ya kupona ni 0%
3.Ukikaa nyuma nafasi ya kupona ni 0%
Mkuu, huyu mtoto alikua amekaa wapi??May 12 – Afriqiyah Airways Flight 771, an Airbus A330, crashes on landing at Tripoli International Airport, killing 103 on board; the sole survivor is a child from the Netherlands....
Kaa sebuleni kabisa. Au dining, utajificha chini ya dining tableSiku yako ikifika imefika tuu, lakini tahadhari ni muhimu pia!!!!
Ngoja nikariri siku nikibahatika kuipanda nikae koridoni!!!
Seriously hujui ajali ambazo watu wamepona? Hii niliopata hizi information watu zaidi ya 80 walipona, wengi wao waliokaa nyuma. Ajali nyingitu zina survivors, kwasababu huwa naangalia sana NatGeo nitakuwa naleta hapa.Mkuu, huyu mtoto alikua amekaa wapi??
1/103 x 100%
=0.97%
Sawa MkuuHautishiwi bali unajengewa hofu na ujasiri kwa pamoja
EwaaaaNakutumia tiketi....
Hapana MkuuHujawahi kupanda hata hivi vidogo mkuu
Yamekuwa hayo tena??!!Kaa sebuleni kabisa. Au dining, utajificha chini ya dining table
Kuna hizi za kulindia wanyama maporini vidogo vidogo vinakaa watu 4, hivi ukivipanda upo uwezekano wa kutokuja kupanda tena ndege,Hujawahi kupanda hata hivi vidogo mkuu