Yales
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 517
- 528
NotedTafsiri ni kuwa ajali za ndege hutokea kwa nadra sana kulinganisha na usafiri wa aina zingine.
NotedTafsiri ni kuwa ajali za ndege hutokea kwa nadra sana kulinganisha na usafiri wa aina zingine.
Hahaha dereva huwa anawapa miti upande mwingine upande wake akaaaYeah mimi huwa nilikuwa nachagua dirishani,eneo la mabawa kwasababu ndio sehemu ngumu kwenye ndege. Leo nimepata somo jipya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku yako ikifika imefika tuu, lakini tahadhari ni muhimu pia!!!!
Ngoja nikariri siku nikibahatika kuipanda nikae koridoni!!!
Hii program huwa siikosi hasa jumapili,, nilichogundua ndege kuanguka husababishwa na vitu vidogo Sana ambavyo huwezidhania,,,Ndege ni usafiri salama zaidi duniani. Lakini ajali yake kupona ni kazi sana.
Kwa utafiti wa wataalam sehemu utakayokaa kwenye ndege ina nafasi kubwa sana kuamua uhai wako.
Igawe ndege mara tatu, kipande cha mbele,kati na nyuma.
1. Ukikaa mbele nafasi ya kupona ni 49%
2.Ukikaa kati nafasi ya kupona ni 56%
3.Ukikaa nyuma nafasi ya kupona ni 69%
Vile vile siti ya koridoni ni salama zaidi kuliko dirishani.
Jitahidi usikae zaidi ya mistari mitano kutoka mlango wa dharura.
Wanasema ndege ikianguka sehemu ya nyuma inameguka mara nyingi inabaki salama, sehemu ya kati kwa sababu ndio kuna tank la mafuta ndio huwa inaungua sana, sehemu ya mbele ndio ya kwanza kukutana na impact mfano kwenye crash landing.
Source:NatGe Air Crash Investigation
Uzuri wao ikianguka wanatafuta chanzo na kuhakikisha haitokei tena kwa kosa hilo hilo.Hii program huwa siikosi hasa jumapili,, nilichogundua ndege kuanguka husababishwa na vitu vidogo Sana ambavyo huwezidhania,,,
NI usafiri very perfect kusipotokea shida, na ndege ikipata shida NI usafiri deadly 100%
Umefurahi eeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maneno yako yamenfurahishaa[emoji4]Umefurahi eeh
Wee wacha tu, ndege sina hamu nayo, ndio basi tu changamoto za maisha zinafanya kukosa option. Ingekuwa ni amri yangu, hata Japan ningeenda kwa Vitz tu.Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
We furahi mwayaManeno yako yamenfurahishaa[emoji4]
Dah.....😀😀😀😀Unatulisha matango pori. Mleta mada Nitafutie ndege 5 tu zilizo crush na watu wakapona kwa hiyo percentage uliyotupatia!!!
Kwa tunaopenda business class inakuwaje hapo?Ndege ni usafiri salama zaidi duniani. Lakini ajali yake kupona ni kazi sana.
Kwa utafiti wa wataalam sehemu utakayokaa kwenye ndege ina nafasi kubwa sana kuamua uhai wako.
Igawe ndege mara tatu, kipande cha mbele,kati na nyuma.
1. Ukikaa mbele nafasi ya kupona ni 49%
2.Ukikaa kati nafasi ya kupona ni 56%
3.Ukikaa nyuma nafasi ya kupona ni 69%
Vile vile siti ya koridoni ni salama zaidi kuliko dirishani.
Jitahidi usikae zaidi ya mistari mitano kutoka mlango wa dharura.
Wanasema ndege ikianguka sehemu ya nyuma inameguka mara nyingi inabaki salama, sehemu ya kati kwa sababu ndio kuna tank la mafuta ndio huwa inaungua sana, sehemu ya mbele ndio ya kwanza kukutana na impact mfano kwenye crash landing.
Source:NatGe Air Crash Investigation
Hiyo sentensi ua mwisho sijui kama ni ya kwako...Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Hautishiwi bali unajengewa hofu na ujasiri kwa pamojaSasa huko ni kutishana ujue
Angalao we umeshusha presha kidogo.Unatakiwa ukumbuke ndio usafiri salama zaidi duniani.
You are more likely to be killed in a car accident on your way to the airport than get killed in airplane crash!