RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,524
- 135,628
- Thread starter
- #181
Ha ha ha...Ustaadh ndio kaongeza hofu!Safari ni safari, sio ndege tu.
Siku nipo kwenye boti ikaanza kunepa, kina Mama na Watoto kama kawa wakaanza mayowe....kulikuwa na Ustaadhi mmoja akawa anatamka maneno ya Kiarabu kila Boti likiinuka, yeye ndiye aliongeza hofu kabisaa.