Sehemu nzuri ya kuishi Tanzania

Sehemu nzuri ya kuishi Tanzania

Pale pale opposite na BOT mkuu, ile barabara inayoteremka kuenda Sangu, yani nilikuwa nikitoka nje ya nyumba nikisimama barabarani naiona benki ile pale
Unataka kuniambia ulikuwa unakaa karibu na kwa kina Felix!?
Hii barabara ambayo ukishuka kwenda sangu secondary pembeni yake mkono wa kulia kulikuwa na guest ya Magoda!?
 
Kwema wakuu!

Mimi ni kijana wa miaka 24 na kazi zangu ni full-time online. Nataka nikimbie nyumbani.

Kwa 2.5M kama pesa ya kuanzia maisha, Je! Ni mkoa/wilaya gani Tanzania nzuri kwa kuishi yenye sifa zifuatazo

  • Unafuu wa maisha
  • Huduma ya maji ya kuaminika*
  • Huduma ya umeme
  • Network nzuri *, 4G imara ( kazi zangu zinategemea mtandao )
  • Urahisi wa kupangisha (room single masters zichezee 50k - 70k)
  • Hali ya hewa safi

Nitashukuru kwa michango yenu yote. Ukiweka jina la mkoa tafadhali taja na wilaya.
nenda sumbawanga
 
Kwema wakuu!

Mimi ni kijana wa miaka 24 na kazi zangu ni full-time online. Nataka nikimbie nyumbani.

Kwa 2.5M kama pesa ya kuanzia maisha, Je! Ni mkoa/wilaya gani Tanzania nzuri kwa kuishi yenye sifa zifuatazo

  • Unafuu wa maisha
  • Huduma ya maji ya kuaminika*
  • Huduma ya umeme
  • Network nzuri *, 4G imara ( kazi zangu zinategemea mtandao )
  • Urahisi wa kupangisha (room single masters zichezee 50k - 70k)
  • Hali ya hewa safi

Nitashukuru kwa michango yenu yote. Ukiweka jina la mkoa tafadhali taja na wilaya.
Kiranjeranje lindi
 
Unataka kuniambia ulikuwa unakaa karibu na kwa kina Felix!?
Hii barabara ambayo ukishuka kwenda sangu secondary pembeni yake mkono wa kulia kulikuwa na guest ya Magoda!?
Yeah guest ya Magoda naifahamu ila Felix simfahamu huo mtaa walikuwa wanapaita kwa Mgawe, nilikuwa naishi jirani na nyumba aliyokuwa anaishi mtoto wa Adam Safari kama unampata, sema alishahama amehamia Iwambi

Lakini yawezekana tumeishi nyakati tofauti maeneo hayo

Wewe ulikuwa kwa wapi mkuu
 
Yeah guest ya Magoda naifahamu ila Felix simfahamu huo mtaa walikuwa wanapaita kwa Mgawe, nilikuwa naishi jirani na nyumba aliyokuwa anaishi mtoto wa Adam Safari kama unampata, sema alishahama amehamia Iwambi

Lakini yawezekana tumeishi nyakati tofauti maeneo hayo

Wewe ulikuwa kwa wapi mkuu
Kumbe ww ni mdogo wangu kabisa wa kitaa. Pia inawezekana tumeishi nyakati tofauti. Mimi nimeishi zamani kidogo. Huo huo mtaa wa BOT nyumba niliyokuwa nakaa na BOT ni pua na mdomo tunatazamana tulitenganishwa na hiyo barabara ambayo sshv naona wameweka lami. Niliona mwakajuzi nilipokuja Mby
 
Mbeya napapenda sana kipindi nafanya kazi Nilinunuaga Alteza ndo zimeingia Bado mbichiiii.Nilikuwa natoka mbio toka mbeya halafu imefungwa bunda Hadi boda ya Kasumulu,nkifika boda napiga drift mbili tatu halafu nachimba naenda matema beach halafu Mziki mnene.Ila now nimefulia nimerudi home ilala kama Chidi Benz.
Dah sioni la ajabu kwa wewe mwanakwetu .

Uzuri sisi maisha yakikushinda nyumbani unarudi safi bila shida.
 
Karibu uyole,fungu moja mboga za majani sh 100,nyama ya ng'ombe kilo 1 ni 6000,kitimoto 7000,viaz ndiz vya kumwaga,nyanya 4 nimepewa jioni ya Leo kwa mia mbili,karoti 3 mia mbili....sijui nitake nini Mkuu?
To yeye wew ni mwenyeji wa wap?
 
Back
Top Bottom