The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 919
- 1,860
Nimeishi mbalizi pako fresh sana Kwa Kila sekta,Sasa hivi naishi makambako nako pako fresh kichizi Yan sijawahi kujuta kuishi sehemu hizi mbiliNjombe Kuna wajanja usipende,nenda Makambako,Tunduma,Ifakara,Mbalizi,Mbeya, Mbarali