Sehemu nzuri ya kuishi Tanzania

Sehemu nzuri ya kuishi Tanzania

Mwanza chumba cha 50k to 70k ni quality sana.Nyamagama na ilemela ndo penyew, hukusu chakula Pako poa,huku anaishi yoyote kwa mam ntilie ata chakula cha 1,000 unapata ni mfuko wako ukitak chai ya 10,000 ipo [emoji23] kiufupi ni wew tu na budget zako.
Chakula cha 1000 huku Mwanza kingi mno kwa mama ntilie tunshiba kabisa hahaaa... Mwanza ukiwa na hela tu au mchongo wa kukuingizia pesa za madafu unaishi.........
 
Chakula cha 1000 huku Mwanza kingi mno kwa mama ntilie tunshiba kabisa hahaaa... Mwanza ukiwa na hela tu au mchongo wa kukuingizia pesa za madafu unaishi.........
Mama ntilie wakianza kukuzoea ndo utajua ujui itabid uende na hotpot uweke chakula kitakachobak.

Kingne mwanza unaweza kula kwa mkopo ukalipa kesho [emoji23][emoji23].
00001 njo ufrah maisha
 
Chakula cha 1000 huku Mwanza kingi mno kwa mama ntilie tunshiba kabisa hahaaa... Mwanza ukiwa na hela tu au mchongo wa kukuingizia pesa za madafu unaishi.........
Mkuu kwa upande wako ni maeneo gani Mwanza unaona pako vyema kwa kuanzia na penye vigezo nilivotaja pale juu.
 
Kwema wakuu!

Mimi ni kijana wa miaka 24 na kazi zangu ni full-time online. Nataka nikimbie nyumbani.

Kwa 2.5M kama pesa ya kuanzia maisha, Je! Ni mkoa/wilaya gani Tanzania nzuri kwa kuishi yenye sifa zifuatazo

  • Unafuu wa maisha
  • Huduma ya maji ya kuaminika*
  • Huduma ya umeme
  • Network nzuri *, 4G imara ( kazi zangu zinategemea mtandao )
  • Urahisi wa kupangisha (room single masters zichezee 50k - 70k)
  • Hali ya hewa safi

Nitashukuru kwa michango yenu yote. Ukiweka jina la mkoa tafadhali taja na wilaya.
Chato
 
Back
Top Bottom