Pac-Man
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 465
- 743
Kwema wakuu!
Mimi ni kijana wa miaka 24 na kazi zangu ni full-time online. Nataka nikimbie nyumbani.
Kwa 2.5M kama pesa ya kuanzia maisha, Je! Ni mkoa/wilaya gani Tanzania nzuri kwa kuishi yenye sifa zifuatazo
- Unafuu wa maisha
- Huduma ya maji ya kuaminika*
- Huduma ya umeme
- Network nzuri *, 4G imara ( kazi zangu zinategemea mtandao )
- Urahisi wa kupangisha (room single masters zichezee 50k - 70k)
- Hali ya hewa safi
Nitashukuru kwa michango yenu yote. Ukiweka jina la mkoa tafadhali taja na wilaya.
Hapo utamapa mialiko mikoa yote [emoji1][emoji1][emoji1]