Sehemu nzuri ya kuishi Tanzania

Sehemu nzuri ya kuishi Tanzania

muda mwingine huwa naona labda anaeweza kupata wepesi wa maisha katika dunia hii ni watu wachache tu mfano wa mtoto alie chini ya wazazi na mwanamke alie olewa na mtu mwenye mali

Vinginevyo ukizaliwa wa kiume una asilimia kubwa ya kukutana na ugumu wa maisha popote ulipo na ukizichanga karata vizur unatoboa tu hata ukiwa kwenye mikoa ambayo inatajwa kuwa ni migumu
 
Mbeya napapenda sana kipindi nafanya kazi Nilinunuaga Alteza ndo zimeingia Bado mbichiiii.Nilikuwa natoka mbio toka mbeya halafu imefungwa bunda Hadi boda ya Kasumulu,nkifika boda napiga drift mbili tatu halafu nachimba naenda matema beach halafu Mziki mnene.Ila now nimefulia nimerudi home ilala kama Chidi Benz.

Huyo Chidi bora angerudi Ilala yupo Chanika hataki kupangiwa kukata miti kwenye shamba lao.
 
Karibu uyole,fungu moja mboga za majani sh 100,nyama ya ng'ombe kilo 1 ni 6000,kitimoto 7000,viaz ndiz vya kumwaga,nyanya 4 nimepewa jioni ya Leo kwa mia mbili,karoti 3 mia mbili....sijui nitake nini Mkuu?
Mbeya nmekaa sana kweli life ni cheap mno huko ukiwa na 2000 unapika kabisa ugali mboga gheto...
 
Mwanza maeneo gani yapo poa, pia vipi kuhusu bei ya vyumba kwa hayo maeneo?

Kazi zangu ni; Freelancing na VA
Mwanza chumba cha 50k to 70k ni quality sana.Nyamagama na ilemela ndo penyew, hukusu chakula Pako poa,huku anaishi yoyote kwa mam ntilie ata chakula cha 1,000 unapata ni mfuko wako ukitak chai ya 10,000 ipo [emoji23] kiufupi ni wew tu na budget zako.
 
Back
Top Bottom