Sehemu gani ya kuangalia Cinema Mbeya?!

Sehemu gani ya kuangalia Cinema Mbeya?!

wazazi wetu tuwape heshima stahiki! kama tumekwaruzana sisi humu JF basi tuelezane sisi kwa sisi tusiwahusishe wazee/wazazi wetu
Kwa hiyo unadhani sisi baba zetu hawapo Mbeya? Au mama zetu hawapo Mbeya? Mtu akitukana watu wa Mbeya katukana mama,baba,shangazi,mjomba kaka,dada na kila mtu anayenihusu,SO *** DAT NICA.
 
Mkuu, tangu huo ukumbi ulioko opposite na Posta upangishwe kuwa kaninsa ni zaidi ya miaka ishirini iliyopita! Yani bado hamjatafuta ukumbi mwingine tu?
Huku tunajiepusha na anasa mkuu tunabana matumizi kwa maendeleo yetu na familia zetu movie tunadanlod.
 
Nimefika Mbeya kikazi sasa kesho nataka pata nafasi kuangalia fate of the furious,je kuna sehemu naweza pata huduma hiyo?
Mbeya Green city hakuna upuuzi wa kupoteza mda kwa kuangalia movie huku tupo busy na Shughuli za Kiuchumi zaid Kama umekuja kibiashara ongea tufanye business
 
Mbeya Green city hakuna upuuzi wa kupoteza mda kwa kuangalia movie huku tupo busy na Shughuli za Kiuchumi zaid Kama umekuja kibiashara ongea tufanye business
Yeah, hebu ntafutie wachuna ngozi mkuu, nmefikilia kufanya hii bishara nikija mbeya.
 
kwako sugu mb fursa baada ya uwekezaji mzuri kwenye kilimo, hoteli sasa fursa mpya kufungua cinemax kubwa mbeya town
 
Watanzania tuna feli kwa sababu ndogo ndogo tu
Kwan ni lazma uangalie muv cinemax
Tuko nyuma ya dunia ila kwa kujifanya tuko updated an ni zaid ya wazungu
 
Nenda Chawama video show,au kwa nasibu,ukikuta hapo wameweka picha za kihindi tupu nenda vijana video show pale kilabuni mafiati,HATUNA HAYO MASINEMA YENU SISI.
Bila shaka mitaa ya kina hayana hiyo Jirani na kwa thimo mchoma nyama
 
Back
Top Bottom