Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,345
- 8,823
Wewe lazima tunafahamiana.Bila shaka mitaa ya kina hayana hiyo Jirani na kwa thimo mchoma nyama
Wewe lazima tunafahamiana.Bila shaka mitaa ya kina hayana hiyo Jirani na kwa thimo mchoma nyama
Kwa mponzi kona yangu ilikuaKwa Mponzi Mwanjelwa, kwa Mambo Mbata, Kwa Mwarabu soko matola, Mama Amasha Maghorofani
Upo wapi mkuuWewe lazima tunafahamiana.
Ofcoz mkuu,,, nakubalian na ww watakaokubishia ni ile tu nyumban ni nyumban atafanyj sas
Ukishajenga gorofa limependezesha mji afu biadhara hakuna inakwajeHAIJULIKANI MJINI NI WAPI. SAWA WANATUMIA MATOFALI YA KUCHOMA ILA TOPE LA NINI NA HAKUNA WA KUJENGA MAGOROFA YAKAPENDEZESHA MJI.
Babu yako alishakuharibu kwa mahirizi, nenda ukaombewe!wachawi sana ho jamaa wana nyungo kila nyumba
Sifa moja wapo ya jiji ni cinema hall!? Hii nchi ina changamoto nyingi sana!Mkuu mimi pia nina safaribya mbeya kesho, nataman sana niangalie hyo movie.. Na kama mbeya hakuna cinemax basi hilo sio jiji..
Walau iwe kilabuni, Huenda alizaliwa danguro huyo!Wee mtoto wa fomu one mtu mzima hawezi kuwa hivyo na hata ukiwa mtu mzima majirani na watu wa karibu yako wanatabu saaana hii ni dunia rekebisha mdomo wako jifunze kuwa na hifadhi ya maneno kuropoka hakukupi umaarufu Wala kukuongezea fedha Bali kunakufanya udharaulike na usiwe na madhara kwa jamii inaonekana ulizaliwa kilabuni wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]povu la nini ? hujanywa damu ya mtu leo?
Duh!!!Sidhani kama wamemshinda babaako uchawi.
Waliokuzaa hawakutimiza wajibu wao kwako!bora uwaambie hao wachawi
Duh!!!Wee mtoto wa fomu one mtu mzima hawezi kuwa hivyo na hata ukiwa mtu mzima majirani na watu wa karibu yako wanatabu saaana hii ni dunia rekebisha mdomo wako jifunze kuwa na hifadhi ya maneno kuropoka hakukupi umaarufu Wala kukuongezea fedha Bali kunakufanya udharaulike na usiwe na madhara kwa jamii inaonekana ulizaliwa kilabuni wewe
[emoji106]wazazi wetu tuwape heshima stahiki! kama tumekwaruzana sisi humu JF basi tuelezane sisi kwa sisi tusiwahusishe wazee/wazazi wetu
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Walau iwe kilabuni, Huenda alizaliwa danguro huyo!
Ukishajenga gorofa limependezesha mji afu biadhara hakuna inakwajeHAIJULIKANI MJINI NI WAPI. SAWA WANATUMIA MATOFALI YA KUCHOMA ILA TOPE LA NINI NA HAKUNA WA KUJENGA MAGOROFA YAKAPENDEZESHA MJI.
Mbeya ni Kijiji kikubwa