mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 3,566
- 5,083
NARINAKuna club moja karibu na mataa, wanakesha na kuna watoto wazuri wenye shepu zao.
NARINAKuna club moja karibu na mataa, wanakesha na kuna watoto wazuri wenye shepu zao.
Ni hatari halafu linaambatana na upepo mkali linapiga hadi kwenye moyoNilikaaga Singida miezi 3, nakumbuka nilioga mara nne au tano😁😁😁Baridi kali ilikuwa.Nilikuwa napenda kwenda kwenye mnada wa mbuzi weekend. Aisee unakula nyama hadi unakinai.