Sehemu gani nzuri ya kula bata Singida

Sehemu gani nzuri ya kula bata Singida

Regency pako poa sana ila watu hakuna ngoja
Kuanzia saa10 hadi saa3 usiku uende Mbalamwezi agu kuanzia saa5 hivi hadi Dawn uwe Narina Night Club


NB ndio Kilabu yenye Totozi kaii sana hapo Singda
Copy
 
Nilikaaga Singida miezi 3, nakumbuka nilioga mara nne au tano😁😁😁Baridi kali ilikuwa.Nilikuwa napenda kwenda kwenye mnada wa mbuzi weekend. Aisee unakula nyama hadi unakinai.
Ni hatari halafu linaambatana na upepo mkali linapiga hadi kwenye moyo
 

Attachments

  • Screenshot_20260915_200023_Gallery.jpg
    Screenshot_20260915_200023_Gallery.jpg
    156.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom