ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 3,588
- 5,277
Akiwauliza hao hata akitaka kula wake za watu kwa muda anawezaUsihofu kaka wewe fanya jambo Moja "waulize hao vijana wa badaboda AkA maafisa usafirisaji""🤣🤣🤣🤣💺💺💺💺🪑🪑🪑
Sema asipige kambi
Akiwauliza hao hata akitaka kula wake za watu kwa muda anawezaUsihofu kaka wewe fanya jambo Moja "waulize hao vijana wa badaboda AkA maafisa usafirisaji""🤣🤣🤣🤣💺💺💺💺🪑🪑🪑
😅😅 Ukweli kipindi cha Singida miaka ya nyuma kidogo nilikuwa nashinda Regency hotel, usiku enzi hiyo Rode ndio imezinduliwa naenda pale nachukua kuku wa kienyeji machoma nyama nakula DDHabarini ndugu.
Kwa wanao pafahamu Singida vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri . Natarajia kukaa hapa kwa mwezi mmoja
Natanguliza shukran.
Wetin be dis?🤔Karibu
Maziwa mtindi,
Mtindi mtindi
wa bariidi
Kwa Tsh elfu moja
Karrrrrrribu
Sijakuelewa bdo mamnyong'odeWetin be dis?🤔
Unaunza mtindi?Sijakuelewa bdo mamnyong'ode
😅😅 Kwa sasa hivi sogea Dodoma mkuu. Kipindi cha karibuni bata dodoma kulala singidaHapa Regency ndio nimefikia pamepoa sana saa 5 tu wameshazima mziki nahitaji sehemu yenye vibe, mziki mnene
Kirima nilipita mwaka jana kuangaza angazia pako bored nilipita kama saa tisa au saa nane usiku kwanza hata sikuona mali . nikaenda lala zanguKirima Pub
Nilitaka kushangaa, Singida na bata wapi na wapi? huko watu wanakula kuku.Rhode tu na Regency weekend kuna mziki pale bar, otherwise kula kuku ubungo ukalale.
Rhode tu…Regency ndio nimefikia hapa. Nahitaji sehemu kama Club hivi ambayo inachangamka sana
😅😅 Wengi washenzi tu, vijana wanapewa kazi za vidole wanavimba kamba ndio mkono, pake kuna mwenyeji atakupa code binti kiziwiDodoma kwa masonko mkuu ngoja tuwaachie wazee wa kaunda
Nyokaaa atakabwa 😂Nyokaa na Rwezaura kuku
Acha kutusagia kunguni!Nilitaka kushangaa, Singida na bata wapi na wapi? huko watu wanakula kuku.
Rhode ilikuwa kipindi imefunguliwa, hadi 2020 mwisho ila baada ya hapo imekufaaa hamna kitu, last time napita saa kumi alfajiri kama msibaniRhode tu…
Kwingine hakufai, hata hapo Rhode ni tia maji tia maji. Ndio mji wetu tufanyaje sasa 😅