Sehemu gani nzuri ya kula bata Singida

Sehemu gani nzuri ya kula bata Singida

Sijawahi kwenda ila story zake zilinichekesha sana.. Mnabanana balaa nasikia.
Nyokaa watu second hand ndio wapo mle 😅😅

Rhode walikuwa wenye nafuu ya maisha, ila sasa unakuta mtu akishindwa gharama za Rhode anakimbilia kule, so unakuta mademu wakali wana hamisha tu upepooo.. unashangaa hii hapa saa moja asubuhi au saa mbali , alafu mda huo unatakiwa Arusha au Mwanza .. aiseee miaka irudi nyuma
 
Rhode ilikuwa kipindi imefunguliwa, hadi 2020 mwisho ila baada ya hapo imekufaaa hamna kitu, last time napita saa kumi alfajiri kama msibani
Mimi nimeenda 2024, nilienda ardhi singida pale,Nikapita kwa rafiki yangu dukani akanipa gauni nikavaa kuingia ofisi za serikali, nilivyotoka nikarudi dukani kwa rafiki yangu kurudisha gauni, ilikuwa jioni akaniambia baki nalo, tukazuga zuga dukani hadi saa mbili tukaenda ubungo kula kuku then tukakusanyana wote wamarafiki tuliocheza rede pamoja, tukazana Rhode it was funny vibe la watu mnaojuana ila kiukweli ni pabaya 😂😂

Nimerudi home karibu na alfajiri na mgauni kama wa kanisani bi mkubwa ananiuliza vipi na huo mgauni, nikakwambia ungejua nilikuwa nakata nao viuno 😅😅
 
Nyokaa watu second hand ndio wapo mle 😅😅
😂😂😂😂😂 Dah!

Rhode walikuwa wenye nafuu ya maisha, ila sasa unakuta mtu akishindwa gharama za Rhode anakimbilia kule, so unakuta mademu wakali wana hamisha tu upepooo.. unashangaa hii hapa saa moja asubuhi au saa mbali , alafu mda huo unatakiwa Arusha au Mwanza .. aiseee miaka irudi nyuma
Popo mnakesha.
 
Mimi nimeenda 2024, nilienda ardhi singida pale,Nikapita kwa rafiki yangu dukani akanipa gauni nikavaa kuingia ofisi za serikali, nilivyotoka nikarudi dukani kwa rafiki yangu kurudisha gauni, ilikuwa jioni akaniambia baki nalo, tukazuga zuga dukani hadi saa mbili tukaenda ubungo kula kuku then tukakusanyana wote wamarafiki tuliocheza rede pamoja, tukazana Rhode it was funny vibe la watu mnaojuana ila kiukweli ni pabaya 😂😂

Nimerudi home karibu na alfajiri na mgauni kama wa kanisani bi mkubwa ananiuliza vipi na huo mgauni, nikakwambia ungejua nilikuwa nakata nao viuno 😅😅
Kwa hiyo rhode napo nikubaya .Nitaenda nishuhudie kwa macho yangu.
 
Mimi nimeenda 2024, nilienda ardhi singida pale,Nikapita kwa rafiki yangu dukani akanipa gauni nikavaa kuingia ofisi za serikali, nilivyotoka nikarudi dukani kwa rafiki yangu kurudisha gauni, ilikuwa jioni akaniambia baki nalo, tukazuga zuga dukani hadi saa mbili tukaenda ubungo kula kuku then tukakusanyana wote wamarafiki tuliocheza rede pamoja, tukazana Rhode it was funny vibe la watu mnaojuana ila kiukweli ni pabaya 😂😂

Nimerudi home karibu na alfajiri na mgauni kama wa kanisani bi mkubwa ananiuliza vipi na huo mgauni, nikakwambia ungejua nilikuwa nakata nao viuno 😅😅
2024 ilikuwa imeisha chokaaaa, 2020 kushuka chini palikuwa kwa singida pa moto, kuna siku nilichukiaa pale nikanunualia nusu ya ukumbia bear hadi walikimbiaaa 😅😅😅😅😅

Singida kale ka mji kana raha yake banaaa.. mie kuna vine lina waka nalipia ndani walikuwa na room nzuri sana, kwmeye mlango ambao anasimama baunsa, nalipia lolote likitoka narudi lala.. Vibe na watu wako wa utotoni tamu sana
 
😅😅 kukesha sidhani kama nitaacha , unasema unaacha kukesha kwenye mabata. ,unaingia kwenye mikesha ya kazi..

Zamani kuna ile natoka Arusha na chuma nategeshe naingia sehemu night kali moja kwa moja kwenye vibe, hadi saa mbili asubuhi unatoka, unakula supu unaingia kazi, unaosha macho unatoka kazini saa kumi jioni unaenda unalala masaa mawili au matatu umeamshwa mnalinzisha vibe
Wanaume mna maisha yenu kwa kweli, mimi nikifanya hivyo ujue kesho ntakuwa teja.

Mara chache sana nimekesha, kesho yake nina uhakika wa kulala siku nzima. Mimi kama nina kazi hata uniwekee million sikeshi kwa kweli.

Huwa naenda field na vijana, tukifika mkoani au wilayani wanaingia kula bata, alfajiri kuoga kuingia job na wapo fresh tu.
 
Umtumie mama, Mwenge tu hapo bonite. Ulidhani unaniletea mimi?

Niko liwale, wiki ya pili sasa.

Kwanini upate utulivu? Tulia uteseke 😀

Utanipa namba ya boda anaepafaham kwa Mama.

Niteseke sio, ila una hila sana. Ndio maana kuna siku ulinipeleka sehemu mchana lakini kuna giza kama sebule ya jehanam. Nilikaa kama nusu saa ndio macho yakaanza kuona kwa mbali.

Yote kwa yote, siku iliisha vizuri.
 
Back
Top Bottom