Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,885
- 5,924
Unauza chai tu hapa,Flyover SGR bwawa la umeme kote kuna ufisadi mpaka kwenye ununuzi Ndege ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge
Wao wana uchaguzi kesho, jana tu walikuwa wanataka kukataa kura zaidi ya laki mbili na elfu ishirini za watu weusi kutoka wilaya ya Harris huko Texas; atafundishaje watanzania kuhusu haki ya kura wakati wao wenyewe hawazijui?We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Really, read here his tweet Secretary Pompeo (@SecPompeo) on TwitterFake account
Unaona aibu? Wananchi wanataka maendeleo. Uza ubuyu hapo mwembe Yanga ruzuku kwishiney.Kama una akili timamu huwezi kuandika huu uchafu ulioandika , wenzako wote wanajua kilichotendeka
Achana na polojo hizo za wapigania uhuru wa afrikaWazungu huwa hawana interest na maslahi ya mtu mwingine zaidi ya maslahi yao.
Ukiona wanatafuta weakness yoyote kwenye utawala wa nchi flani ujue hiyo nchi wamebanwa maslahi yao.
Kama atatokea rais akabana maslahi yao hata awe nademokrasia vipi atakua rais mbaya.
Mie napigania haki lakini sidhani kama wazungu wako kwaajili ya sisi kupata haki. Wao wanamaslahi tu yakudumu na hawana rafiki kamwe.
Kama ikatokea rais mteule akaamua kuwapoza kwa kuwapa rasilimali zetu tutakaoumia ni sisi ila wazungu wataanza kumsifia na sisi tulivyo na ujinga tutaanza kuhisi nikweli ni raisi bora.
Ukiona rais wako anasifiwa na wazungu unapaswa kuwa na mashaka na mambo yanayoendelea nyuma ya pazia.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Nchi haina maendeleo? Mkoloni aliacha hizi barabara? Hospital shule za kata ? PumbafuKujenga Taifa lipi? Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa zote za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji mwingi kwa wapinzani badala ya maendeleo
wazazi wako ndugu zako mkeo na watoto wako.Waje watushushie mabomu labda akili itatukaa! Na ikiwezekana wasaidie kutuanzishia vikundi vya ugaidi ili tuheshimiane!!
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Kama watu waulaya hatoingilia kati kwanguvu zote basi malengo ya vyama vingi kumpa nafuu wananchi yatakuwa hakuna nakama ikitokea hivyo kura yanwananchi haiwezi pata heshima nibora vyama vingi vifutweDunia inaanza kufunguka matendo yao ya aibu yanazidi kuanikwa, uchaguzi ule haukuwa huru na wa haki hilo halina ubishi, yeyote anayetetea uhuni ule kwasababu yoyote ile ana matatizo ya akili.
Walidhani yatapita hivi hivi, sasa dunia imeanza kuwanyooshea kidole.
The option is simple; fanya wanavyoelekeza, kama hutaki subiri hatma yako, najua sasa huko lumumba hapakaliki, hapalaliki, hata hivi vibuyu vyao humu jf vinatetemeka.
Bora hawa wameongea kitu cha maana.View attachment 1618016
UINGEREZA YATAKA UCHUNGUZI HURU UFANYIKE KUHUSU UCHAGUZI WA TANZANIA
Kulingana na taarifa iliotolewa na Uingereza na kuchapishwa tarehe mosi mwezi Novemba, Taifa hilo sasa linajiunga na mataifa mengine katika kuitisha uchunguzi huru ufanywe ili kuondoa wasiwasi unaozidi kuenea katika taifa La Tanzania
Waziri wa masuala ya Afrika James Duddridge amesema kwamba Uingereza inashangazwa na ripoti za ghasia na kiwango cha juu cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura ikiwemo suala zima la kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.
Amesema kwamba Uingereza pia ina wasiwasi kuhusu madai ya kuingiliwa kwa uchaguzi huo, kujazwa kwa kura katika masanduku ya kupigia kura na kuzuiliwa kwa mawakala wa vyama vya upinzani kuingia katika vituo vya kupigia kura.
Vilevile taifa hilo limeshangazwa na madai ya ripoti za ghasia na kiwango kikubwa cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura wakati wa uchaguzi, ikiwemo kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.
Kulingana na taarifa hiyo , Uingereza imesema kwamba kwa Tanzania kuwa dhabiti na kustawi katika siku za usoni , itahitaji mchakato wa kidemokrasia ulio huru na wa haki, unaoungwa mkono na vyombo vya habari vilivyo huru.
Source: BBC
Marekani nikuwakataa tu Kama walivyokataliwa na Kim Jong Un na maisha bado yanaendelea.We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Kivipi?Hata wewe ni jasiri mitandaoni
Haya yote hayana ushahidi ila kama yapo naamini yanazungumzika na kufikia muafaka cha msingi ni kila pande kujishusha na kukaa meza moja ila sio kuhamasisha vurugu mitaani kumbuka asilimia kubwa hatuna chamaUganda wana mapungufu yao lakini Uganda wapo vizuri kwa wafanyabiashara Benk kuu ya Uganda haidhulumu pesa za wafanyabiashara zinazotumwa toka nje , hawana usumbufu kwa wafanyabiashara kabsa hakuna kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi wala utakatishaji fedha ili kumdhulumiwa pesa zako
Uganda wana mapungufu yao lakini Uganda wapo vizuri kwa wafanyabiashara Benk kuu ya Uganda haidhulumu pesa za wafanyabiashara zinazotumwa toka nje , hawana usumbufu kwa wafanyabiashara kabsa hakuna kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi wala utakatishaji fedha ili kumdhulumiwa pesa zako
Afadhali umegusia ukweliHaya hayasaidii
sawaWe are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.
NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.
Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.
Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Siasa za maji taka zipo CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi ni siasa za maji takahahahaha daaah wana chadema bana! hakuna uchaguzi unarudiwa + wote wakina sugu, lema , mbowe ndo mwisho wa siasa zao za maji taka