Second Round Application TCU

Second Round Application TCU

wadau mimi nimehusika na panga la TCU ,nilisoma HGL ,nimechagua 2nd round bachelor of edctn in arts pale UDOM ,vp ipo okay?
 
Jmn kwan haswa inahusika n nini hyo couse

Ni course ya kijingajinga tu kaka, ila kama anaenda kusoma ili awe na degree ya kufanyia siasa hapo sawa ila mathematics inamuusu sana lakini hakuna kazi kitaa, kama anaweza atafute shughuli za kufanya angojee mwakani ok
 
Ni course ya kijingajinga tu kaka, ila kama anaenda kusoma ili awe na degree ya kufanyia siasa hapo sawa ila mathematics inamuusu sana lakini hakuna kazi kitaa, kama anaweza atafute shughuli za kufanya angojee mwakani ok

Ok sawa bt vp unailewa couse ya compture science ya udom iko vp ktka swala la ajira
 
Ok sawa bt vp unailewa couse ya compture science ya udom iko vp ktka swala la ajira

Ni nzuri sana coz unaweza kujiajili pia, ila kuna coz moja pale udom inaitwa heath information system ipo poa na akipiga na umaskini kauaga
 
sasa kama umeshamjazia unauliza nini hapo na utamjazia vipi mtu course hauijui ama kweli simba hakikosa nyama ula nyasi
 
Karibu sana dodoma me ndo nipo pale baada ya kusoma statistic na kuona sina kazi now nasoma information system security hapa udom

Jamn nimemeapply tumaini unibersty makumira vp bachelor in computer science and information technology hii iko vp
 
Karibu sana dodoma me ndo nipo pale baada ya kusoma statistic na kuona sina kazi now nasoma information system security hapa udom

Yaani unasoma degree ya pili ili uajiriwe hizo pesa za kusoma degree ya pili ni bora ungezitumia kama mtaji ukajiajiri ila kwa vile akili ya inawaza kuajiriwa utasoma degree nyingi sana.
 
Back
Top Bottom