Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,210
- 20,954
nani kakudanganya kozi zikiandikwa non priority hupati mkopo @ marco polo
Refer to heslb guidelines
nani kakudanganya kozi zikiandikwa non priority hupati mkopo @ marco polo
nani kakudanganya kozi zikiandikwa non priority hupati mkopo @ marco polo
mi nasoma kozi ya non priority ila ya science na mkopo nnao 100%
re-application deadline ni lini???
Msaada jamani eti kuna vyuo ambavyo mnavijua ninavyoweza kufanya application direct chuoni kwa course ya MD?
Msaada jamani eti kuna vyuo ambavyo mnavijua ninavyoweza kufanya application direct chuoni kwa course ya MD?
Wadau hv mtu mwenye 4 ya brn pcm anasomea degree na kwa couse gan maana nina ndg yng yy yupo kwa waliokosa vyuo na hajui atajaza nn second round msaada tafadhari kimawazo
Wadau hv mtu mwenye 4 ya brn pcm anasomea degree na kwa couse gan maana nina ndg yng yy yupo kwa waliokosa vyuo na hajui atajaza nn second round msaada tafadhari kimawazo
anasoma, kama ana d-2 yaani poiti 2 (e=0.5, d=1, c=2 n.k) kwahyo akiwa na hzo point mbili nakuendelea zpo baadhi ya kozi atakazokidhi vigezo na atasoma, fuatilia tcu-guide book.
Hzo d2 anazo afu alvologin kwa ac yake vyuo n couse zlzobak n km ifm IT atiii ataweza pata pia n bachela of science in statistic cjui udom
statistics? kaumiaAsante nimemjazia bachelor of science in statistics lkn hatujui inahusika n nini haswa pia ki upande wa ajira hii couse iki vp
statistics? kaumia