Second Round Application TCU

Second Round Application TCU

Ni course ya kijingajinga tu kaka, ila kama anaenda kusoma ili awe na degree ya kufanyia siasa hapo sawa ila mathematics inamuusu sana lakini hakuna kazi kitaa, kama anaweza atafute shughuli za kufanya angojee mwakani ok

Unayejiita kikoozi acha mara moja kupotosha watu,tambua kwamba Jf ni platfoam ambayo watu wanachukulia kama chanzo muhimu cha habari,sasa mihemko na ujuaji mwingi usiona tija kwa wengine utapotosha watu,sio lazima ujibu vitu usivyo vijua tafadhali badilika na acha utoto humu kuna kaka,baba,dada,mama na watu wa rika tofauti..heshimu jukwaa.
 
Last edited by a moderator:
Yaani unasoma degree ya pili ili uajiriwe hizo pesa za kusoma degree ya pili ni bora ungezitumia kama mtaji ukajiajiri ila kwa vile akili ya inawaza kuajiriwa utasoma degree nyingi sana.

Nakuja huko mkuu nilichagua nursing na bsc in chemistry nimepita round ya kwnza kwa hyo nipokee UDOM mkuu
 
Unayejiita kikoozi acha mara moja kupotosha watu,tambua kwamba Jf ni platfoam ambayo watu wanachukulia kama chanzo muhimu cha habari,sasa mihemko na ujuaji mwingi usiona tija kwa wengine utapotosha watu,sio lazima ujibu vitu usivyo vijua tafadhali badilika na acha utoto humu kuna kaka,baba,dada,mama na watu wa rika tofauti..heshimu jukwaa.

Hivi ukiiondoa tume ya takwimu . TBS.(Tanzania bureau of stastic), twaweza , reset , na synovate pamoja na TMA. Hawa watu waliosoma statistics ni wapi pengine wanaweza ajiliwa?.
 
Last edited by a moderator:
Nakuja huko mkuu nilichagua nursing na bsc in chemistry nimepita round ya kwnza kwa hyo nipokee UDOM mkuu

chemistry inakuhusu, nursing idadi ni ndogo so inacompetition sana, ukiweka coz ya competition na nyingine yenye less competition unakuwa umewarahisishia kazi.
 
Hivi ukiiondoa tume ya takwimu . TBS.(Tanzania bureau of stastic), twaweza , reset , na synovate pamoja na TMA. Hawa watu waliosoma statistics ni wapi pengine wanaweza ajiliwa?.

TBS(Tanzania Bureau of Standards),..Statistics ni part ya mathematics,thats why hata aliyesoma Degree ya mathematics (major) anaweza kufanya kazi za statistics,

Kwenye kila Halmashauri na manispaa na mikoa kuna Statistician(Afisa Takwimu),

NBS(National Bureau of Statistics) hii ni ofisi ya Taifa ya takwimu chini ya wizara ya fedha,yenye mamlaka ya kusimamia na kuendesha sensa,kutoa takwimu na tafiti mbalimbali za nchi.

Kuna mashirika na NGo's mbali mbali wanafanya research wanahitaji Statisticians,ukitaka google uwone nafasi za kazi zipo kibao wanazotoa mashirika na taasisi tofauti.

Hiyo ni mifano michache sana ya sehemu ambazo statistician anfit,lakini maafisa takwimu mpaka sasa ndio wanafanya na kusimamia chaguzi wakiwasaidia wakurugenzi wa halmashauri,sasa mtu anayekurupuka na kuidharau STATIATICS ilihali hajui chochote kuhusu taaluma hiyo niwakupuuza.
 
chemistry inakuhusu, nursing idadi ni ndogo so inacompetition sana, ukiweka coz ya competition na nyingine yenye less competition unakuwa umewarahisishia kazi.

Inawezekana mkuu ila hizi hizi kozi kuna watu wamekosa kwenye first round
 
Wakasome wakanyanyaswe au we hujui yaliyotea St. Joseph Arusha tuulize sisi tunaoijua st Joseph sio unakurupuka kuchangia wakati hujui lolote

Usijisahau maana ulichokisema jana umesha kisahau.
Ukweli ni kuwa kama wewe ni mzembe wa kusoma na kuhudhuria darasani usije kwenye hivi vyuo maana wana test, assignment na mitihani mingi kuliko vyuo vingine nchini.Wanaoenda kwenye hivi vyuo mjipange kama ni sharo jipange kabla ya kwenda.
 
Yaani unasoma degree ya pili ili uajiriwe hizo pesa za kusoma degree ya pili ni bora ungezitumia kama mtaji ukajiajiri ila kwa vile akili ya inawaza kuajiriwa utasoma degree nyingi sana.

Duuh kaka roho inakuuma mm kusoma degree ya pili mungu wangu ndo maana tanzania hatuendelei ww kama elimu yako la saba tulia sindano ikuingi
 
jaman nimeapply second round nimepata UDOM bachelor of education in arts (nimetoka HGL) ,ndo ilikua na nafasi juzi ,vp iko vizuri? na vp ina priority? kwa anefaham.
 
jaman nimeapply second round nimepata UDOM bachelor of education in arts (nimetoka HGL) ,ndo ilikua na nafasi juzi ,vp iko vizuri? na vp ina priority? kwa anefaham.

kwa haraka unaweza chungulia guide book.... utajua
 
jaman nimeapply second round nimepata UDOM bachelor of education in arts (nimetoka HGL) ,ndo ilikua na nafasi juzi ,vp iko vizuri? na vp ina priority? kwa anefaham.

hiyo c koz nzur hapo ungechukua BAED nafiki iko powa
 
Back
Top Bottom