Second Round Application TCU

Second Round Application TCU

duh!! kuna jamaang hakuapply mwanzoni anasumbuka sana naomba mwenye kuelewa anisaidie

Yes...ana uwezo wa kuapply, info zaidi fuatilia Official news kwnye website ya TCU inayohusu "second round".
 
wamesema "chance will be given to higher performers first" sasa unafikiri hao higher performers ni akina nani kama cyo wenye GPA nzuri?? nisahihishwe kama npo wrong.

ni kweli wameandika hivyo,kwa hiyo wenye gpa kubwa au entry points katika masomo wanayotaka ikiwa kubwa,atakuwa preferably choosen
 
civil udsm watu 64nmepata sawa nao point 10.5 ila mm 1round nmekosa udsm, now 2round wameleta tena civil nimeomba hapo hapo udsm watu 35 wanahtajka, vipi wadau naweza nkapata?
 
civil udsm watu 64nmepata sawa nao point 10.5 ila mm 1round nmekosa udsm, now 2round wameleta tena civil nimeomba hapo hapo udsm watu 35 wanahtajka, vipi wadau naweza nkapata?

Umepiga PGM au hyo comb nyingine kama jina lako mkuu,?
 
civil udsm watu 64nmepata sawa nao point 10.5 ila mm 1round nmekosa udsm, now 2round wameleta tena civil nimeomba hapo hapo udsm watu 35 wanahtajka, vipi wadau naweza nkapata?
utapata boy ,maana compitition kwa kias chake imepungua...hope utaenda 2
 
wamesema "chance will be given to higher performers first" sasa unafikiri hao higher performers ni akina nani kama cyo wenye GPA nzuri?? nisahihishwe kama npo wrong.

Hiyo sio GPA ndugu bali ni cut off points ktka 3 core subjects, huko nyuma gs & bam ulikuwa mwendo wa s tu hata upige 100% wakat nyinyi sio, sasa hapo unahesabu vp GPA kwa mtu ambaye sio brn? Emu nenda kapitie guide book ya TCU kama utaona neno GPA.
 
Hiyo sio GPA ndugu bali ni cut off points ktka 3 core subjects, huko nyuma gs & bam ulikuwa mwendo wa s tu hata upige 100% wakat nyinyi sio, sasa hapo unahesabu vp GPA kwa mtu ambaye sio brn? Emu nenda kapitie guide book ya TCU kama utaona neno GPA.
keypoint yangu ni ufaulu mzuri ,haijalish mwombaji yupo kwny mfumo wa GPA au la..nadhan umenipata.
 
Hiyo sio GPA ndugu bali ni cut off points ktka 3 core subjects, huko nyuma gs & bam ulikuwa mwendo wa s tu hata upige 100% wakat nyinyi sio, sasa hapo unahesabu vp GPA kwa mtu ambaye sio brn? Emu nenda kapitie guide book ya TCU kama utaona neno GPA.
higher performers ni wenye kuanzia points ngap?
 
Back
Top Bottom