kama jna langu mkuu...Umepiga PGM au hyo comb nyingine kama jina lako mkuu,?
kama jna langu mkuu...Umepiga PGM au hyo comb nyingine kama jina lako mkuu,?
kama jna langu mkuu...
nope! mkuu o'level nna B zote kwenye pcm yangu,,, kuna washkaj nlwaona had O'level nmepga nao sawa pa1 na Adv. lakn ndo hvyo tena mm wamentupa labda coz nltoka skul za kataMhh...?? Mbona point ulizopiga ni kubwa sana alaf wamezinguwa
Oky may be ni guess, itakuwa o-level uliwapigia 'D' kwenye physics coz nimeona kuna makamanda walifanya kweli advance alaf wakabaniwa chance kwa kasababu kadogo cha o-level kutowapa 'C' waliyokuwa wanaihitaji
nope! mkuu o'level nna B zote kwenye pcm yangu,,, kuna washkaj nlwaona had O'level nmepga nao sawa pa1 na Adv. lakn ndo hvyo tena mm wamentupa labda coz nltoka skul za kata
pa1 mkuu tuombeane maana private ctaweza gharama...Kata wanathaminiwa kishenzi
Ila ucwaze,unaezakuta vyuo vinagawana makamanda ambao n mafighter
Bt kama 2nd round ulikichaguwa tena bac una % nying za kuchukuliwa,