Second interview NSSF

Second interview NSSF

plz muulize pia itakuaje written mara mbili watueleweshe

Hatua ya kwanza ni kuwacheki tena ww mwenyewe hope namba yao unayo itakuwa bize lakini jarib kupigania haki yako kwanza then waambie simu ilikuwa chaji ndo watakupa mrejesho nn cha kufanya mkuu.
 
apptitude txt tna for the second tym hii sytem cjawahi ona kwa kwl
 
hawa jamaa ni wababaishaji sana aisee,hata mwaka 2011 walifanya written mara mbili
 
Format ile ile? Communication skills, numeral skills na operation management questions? Au inakuaje mwenye uzoefu wa 2011 atupe hapa.
 
apptitude txt tna for the second tym hii sytem cjawahi ona kwa kwl

Wanaoona na kujua ni hr na fani zao
Hii ni kawaida katika recruitment tue wapole si kila mahali utafanya written moja huko ni kukariri hata utumish washawah wapigisha watu written mbili mpka mtu akaleta uzi hapa kulalamika hakupata taarifa mapema wengine wanafanya hata nne
 
Mungu wangu tra chini, nssf chini huu mwaka jaman

Its when you came to conclude that God has forsaken you, Its when you get a big Miracle.

Don't give up hata mimi I face some difficult but I stand to that slogan every time of my boom time and my depression time.
 
Tena kule duce venue zao kubwa sana ndio mana sahivi hawajawa na mambo ya kugawa mda kiufupi kila mtu kaitwa aliefanya interview ya kwanza
 
Mie nimepigiwa just now...wamenambia 2nd interview jumamosi saa tatu IFM na wamenipa na serial number
Jana walinitumia msg without Namba...so wale ambao wamepata msg without namba wasikate tamaa they will call you to let you know na kama hawajawapigia j'mos muwahi maeneo walowatajia lazima watakuwa na list ya watu walowatumia msg....TUMUOMBE MUNGU ATUSIMAMIE KATIKA HILI maana ni balaa
 
Mie nimepigiwa just now...wamenambia 2nd interview jumamosi saa tatu IFM na wamenipa na serial number
Jana walinitumia msg without Namba...so wale ambao wamepata msg without namba wasikate tamaa they will call you to let you know na kama hawajawapigia j'mos muwahi maeneo walowatajia lazima watakuwa na list ya watu walowatumia msg....TUMUOMBE MUNGU ATUSIMAMIE KATIKA HILI maana ni balaa
 
Mie nimepigiwa just now...wamenambia 2nd interview jumamosi saa tatu IFM na wamenipa na serial number
Jana walinitumia msg without Namba...so wale ambao wamepata msg without namba wasikate tamaa they will call you to let you know na kama hawajawapigia j'mos muwahi maeneo walowatajia lazima watakuwa na list ya watu walowatumia msg....TUMUOMBE MUNGU ATUSIMAMIE KATIKA HILI maana ni balaa

Umetiririka vzurr sana mkuu
 
wamenipigia simu mchana huu na wamenipa serial number, kituo kitakua IFM saa tatu.
 
Mimi nilipigiwa saa 1 na dakika kadhaa jioni,akaniambia napiga simu kutoka NSSF ,dada akaniuliza unaitwa fulani,nikamjibu ndiyo,akaniambia unatakiwa ufike kwa Interview ya pili ya NSSF itafanyika DUCE namba yako hii xxxx,mda hakunitajia akakata simu,naomba waliambiwa waende DUCE wanijurishe time waliyoambiwa wao,Tafadhali nisaidieni nipo Ruvuma now.
 
Mimi nilipigiwa saa 1 na dakika kadhaa jioni,akaniambia napiga simu kutoka NSSF ,dada akaniuliza unaitwa fulani,nikamjibu ndiyo,akaniambia unatakiwa ufike kwa Interview ya pili ya NSSF itafanyika DUCE namba yako hii xxxx,mda hakunitajia akakata simu,naomba waliambiwa waende DUCE wanijurishe time waliyoambiwa wao,Tafadhali nisaidieni nipo Ruvuma now.

Mimi nimepigiwa simu leo kwamba usaili utafanyika DUCE saa tatu asubuhi
 
Back
Top Bottom