Habari za asubuhi JF members.
Nisiwachoche, niende moja kwa moja kwenye hoja.
November mwaka jana (2025), niliomba kazi Ajira Portal kwa mara yangu ya kwanza. Kazi niliyoomba ni REGISTRATION OFFICER II - NIDA.
Nilikuwa naisubiria anzia January mwaka huu hola hadi kufikia ijumaa iliyopita ndio nikaona Email ya kuitwa kwenye usaili tarehe 23 May 2026 yaani Jumamosi ya wiki hii.
Wakuu nimesota kitaa kuanzia January hadi sasa bila mchongo, hii fursa sitaki kuikosa.
Nina degree ya Sheria (LLB)
Wanaohitajika kwenye hiyo nafasi ya Registration officer ni watu 50.
Ushauri;
Je, nitegemee maswali gani kwenye written interview? ( inafanyika online)
Naombeni mnipe na Code zingine kwasababu ndio mara yangu ya kwanza kwenda kwenye job interview.
Ahsanteni, napokea maoni, mawazo, ushauri na pia MTU MWENYE FURSA ZINGINE. 🙏🏾
Nisiwachoche, niende moja kwa moja kwenye hoja.
November mwaka jana (2025), niliomba kazi Ajira Portal kwa mara yangu ya kwanza. Kazi niliyoomba ni REGISTRATION OFFICER II - NIDA.
Nilikuwa naisubiria anzia January mwaka huu hola hadi kufikia ijumaa iliyopita ndio nikaona Email ya kuitwa kwenye usaili tarehe 23 May 2026 yaani Jumamosi ya wiki hii.
Wakuu nimesota kitaa kuanzia January hadi sasa bila mchongo, hii fursa sitaki kuikosa.
Nina degree ya Sheria (LLB)
Wanaohitajika kwenye hiyo nafasi ya Registration officer ni watu 50.
Ushauri;
Je, nitegemee maswali gani kwenye written interview? ( inafanyika online)
Naombeni mnipe na Code zingine kwasababu ndio mara yangu ya kwanza kwenda kwenye job interview.
Ahsanteni, napokea maoni, mawazo, ushauri na pia MTU MWENYE FURSA ZINGINE. 🙏🏾