ALLY RIYAMI
Senior Member
- May 26, 2012
- 115
- 15
interviw ya pili ni tofauti kidogo so get ready
Unasema idadi imekuwa kubwa sasa wewe ulitaka nani aachwe kama vipi wewe usiende ili wawe wachache.
Mi nimekuta sms yao na missed call saa tatu kasoro usiku.
Swali;
wtitten ya pili kuna nini na huu ni mfumo upi wa kuwa na double written wadau?
mimi sikufanya kabisa ile ya kwanza na wameniita tena hii ya pili,hawa jamaa hawajajipanga kabisa
interviw ya pili ni tofauti kidogo so get ready
Interview ile ya kwanza ilikuwa hivyo hivyo hawakuntumia no., cha msingi ni kuwahi siku hiyo na kuwafata wahucka huwa wanatoa hizo no. siku ya interview kwa wale ambao hawakutumiwa, kama walivyofanya ile ya kwanza
hv wameanza rasmi lini kuita maana mm nlipigiwa jmos sa tatu uck na namba ya ofcn bt ckupokea kwa wakati na namba ambayo nmeona hapo ni tofauti na nliyopigiwa cjui niamini ipi ni changamoto kwakwel
jamaa walinipigia jana jioni walinipa namba ya interview inaonekana wanatuma text kama kutoa taarifa kwanza then wanaanza kupiga kwa ajili ya kutoa namba nafikiri hata walikokuwa na tatizo kama langu soon before saturday watakuwa wamewapigia.
Kwa nilivyoeleweshwa nssf wanafanya haya mambo hivi.
Interviews ziko kama ifuatavyo.
1 . General knowledge - written
2 . Fully understanding of the post position an the fund in general - written
3. Oral interview. This will check your confidence. English. And general understanding of the fund. Nssf.
Hayo ndio ninayoweza kuwajulisha ndugu zangu.
Mimi wamenipigia leo na wamenipa namba yao, all the best mkuu
mimi sikufanya kabisa ile ya kwanza na wameniita tena hii ya pili,hawa jamaa hawajajipanga kabisa