nmepigiwa simu kwa ajili ya interview ya pili jmos hii Duce Changombe
Congrants
Mungu wangu tra chini, nssf chini huu mwaka jaman
Mi nimekuta sms yao na missed call saa tatu kasoro usiku.
Swali;
wtitten ya pili kuna nini na huu ni mfumo upi wa kuwa na double written wadau?