nmepigiwa simu kwa ajili ya interview ya pili jmos hii duce changombe
hata mimi nimepigiwa sasa hivi. Why isiwe oral?
nmepigiwa simu kwa ajili ya interview ya pili jmos hii duce changombe
Inakuwaje wengine tumetumiwa sms ya kuitwa lakini hatujapewa serial number?
295745330 ni namb ya ofs ilitumika ku sms, then nili pata sms nyngne kutoka 0653297257 na bado nilipigiwa cm kwa namba 0684995056.....ila namba zipo nying sio hiz tu
tutumien no iliyowapigia ili tujue tuliokuta missd call kama yenyewe
Mtapigiwa nikichukua uzoefu wa interview ya kwanza...ukiona kimya fika eneo la tukio mapema huwa wanakuwa nazo serial za watahiniwa wote.
0718575251 ndio no yenyewe
Mimi wamentumia meseji tu bila kupiga simu wakisema ni saa tatu asubuhi tarehe 10 jan 2015 ifm
hata mie wamenitumia meseji tu sasa cjui utaratibu wa namba utakuwaje maana kuna mshkaji wangu walimpigia wakampa na namba kabisa kama ilivyokuwa 1st interview.
Interview ile ya kwanza ilikuwa hivyo hivyo hawakuntumia no., cha msingi ni kuwahi siku hiyo na kuwafata wahucka huwa wanatoa hizo no. siku ya interview kwa wale ambao hawakutumiwa, kama walivyofanya ile ya kwanza
Utakiwi kufika siku ya tukio unatakiwa hata leo pale HQ ili ujue kinachojiri mkuu hope siku ya tukio watakuwa bize sana kama vp twendezetu kuna mtu amenipa angalizo hilo
Kwa leo mambo tyt kidogo mkuu, ntawachek 2mrw nkipata nafasi kama ulivyosema the sooner the better