SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

#Be aware of Fraudsters!!!!...TANZANIA INA AGENT MMOJA TU NA YUPO JENGO LA MKAPA HOUSE. OFISI ZIPO WAZI KUANZIA SAA MOJA MPAKA SAA NNE ASUBUHI KULINGANA NA WATEJA.

Mbona nasikia TBJoshua amechagua mawakala wengine TZ? NAsikia kwa sasa mpo watatu, sasa kwa wewe kusema coordinator yupo mmoja tu ina maana unaita wale wawili kuwa ni fraudsters makusudi. Tafadhali, check vizuri na SCOAN wakueleze kuwa mpo watatu. Hawa wengine wakienda kulalamika kuwa umewaita fraudsters nadhani nawe pia utasimamishwa kuwakilisha SCOAN hapa TZ.
 
Hapana si kweli, ni miongoni mwa watu wanaompenda na kumtumika MUNGU japo katika udhaifu wa mwili na roho. My point is, kwanini tuuze kwa pesa nyingi hivyo? Imani yangu mimi haiwezi kujengwa kwa sticker na chupa za maji but kwa maandiko na pia mimi nimfuatiliaje mzuri sana wa Vipindi vyenu but this doesnt mena kwamba sasa nisiwe na msimamo binfasi NO No
Imeandikwa: Mmepewa {Neno} Bure, Toeni {Neno} Bure!
Mathayo 10:8
 
Dola 50??????????
Kweli siku hizi kila kitu ni biashara

Yaani unatoa kiasi hicho cha fedha kununua maji ya upako?
Yeye ameununua doar ngapi huo upako na akauweka humo?
 
masopakyindi: Nimekupata vizuri; Kuhusu Neno- Ni ukweli usiopingika kua mtumishi wa Mungu Prophet TB Joshua hutoa neno lake Bure;

-Mahubiri na mafundisho yake kupitia #EmmanuelTv hua ni ya bure kabisa kwani Channel hiyo iko wazi kwa kila mtu. I mean, inapatikana kwenye receivers zote hata ambazo hazilipiwi kwa mwezi...mfano Receiver aina ya MEDIACOM na nyinginezo.


-But huduma ya Annointing water na sticker ni tofauti. Kutokana na gharama kubwa ya kusafirisha na kutengeneza vitu hivyo.


#Swala kubwa hapa ni UELEWA NA IMANI.
 
Last edited by a moderator:
vitu vyote hapo TB Joshua anatoa bure nyinyi mnauza 50USD? Dah!!! kuweni na haya basi...hata mbele za Mungu si haki.
 
Huyo martha kaaya c mlisema mmebadilisha sbb za nyodo zake kwa wateja?

Ni kwl kbs tna ananyodo hafai kbsaaaaaaaaa tn kbs kbs kuwa coordinator uctuchuuzd hpa jmaniiiii Blandina Nyoni nae anaandikisha tn ds week ndo natak nifanye folo up hyu martha kwa mnaotak kumkufuru Mungu nendeni hana lugha ya customer care ht kdg achilia mbali karama.tn ntaleta hp namna ya kumpat hyo coordinator mwngne na alichaguliw baada ya malalamiko kufika scoan.
 
Ni kwl kbs tna ananyodo hafai kbsaaaaaaaaa tn kbs kbs kuwa coordinator uctuchuuzd hpa jmaniiiii Blandina Nyoni nae anaandikisha tn ds week ndo natak nifanye folo up hyu martha kwa mnaotak kumkufuru Mungu nendeni hana lugha ya customer care ht kdg achilia mbali karama.tn ntaleta hp namna ya kumpat hyo coordinator mwngne na alichaguliw baada ya malalamiko kufika scoan.
Afu hyo nickname itamislead watu hupaswi ht kuitumia yn duuuh!
 
Hivi Martha unazani tumekusahau. Ule ujeuri wako wa kimeru na majivuno yako kweli kabisa leo una weka post ya kwenda kwa T.B Joshua? Kwanza tunajua hupo tena kwenye ile ofisi Mama B. Nyoni ndie anaetambulika Scoan. Hebu usimchafue mtumishi wa Mungu. Kwanza tumegundua kwenda wenyewe moja kwa moja nirahisi kuliko kupitia kwako.
 
Elli: Seems upo kushoto na maandiko ya vitabu vya Mungu kaka.

Yule mama aliopo pale Benjamin Mkapa mmeshambadilisha au bado yupo yule yule? anaongea vibaya sana mwambie aache majibu mabaya kama anafanya kazi ya mungu kweli!! anaongea vibaya ukimuuliza kitu anakukatia simu na hakujibu.
 
Eiyer: Imagine, ukawa na hayo maji na yakakupa au kukuponya ugonjwa wa kutibiwa kwa mamilioni au kutotibiwa kabisa.

Fikiria na hilo pia.

#Imani yako itakuponya
 
Last edited by a moderator:
Elli: Mungu ananjia nyingi sana za kuonyesha nguvu zake. Kwahiyo sio kwa kusali au kusoma neno lake unaweza kuziona nguvu hizo. Nitakupa mifano kadhaa:-

1. Mtume Paulo enzi zake alikua akitumia aprons na vitambaa vya mikononi kuponya watu wenye shida mbali mbali. Ni watu wengi walienda kupata bidhaa zake. Lakini tambua...hawakupewa tu bure kwasababu vile vitu vilikua vikinunuliwa kwa gharama.Hapo utaona Mungu anajidhihirisha kupitia vitambaa vya mikono.


2. Mtume Peter, yeye alitumia kivuli chake kuponya watu wenye matatizo. I mean, akiwa kasimama au kukaa ukipita kwenye kivuli chake unakuwa safi kabisa.


3. Yesu pia aliweza kutumia Mate na Udongo kumponya mtu kipofu.

4. Tumeona hata baadhi ya watumishi kwenye Biblia wakitumia mafuta kuwapaka watu.

5. Leo hii, Prophet TB Joshua anatumia sticker na maji kuwaponya watu na kuwatatulia watu wenye shida mbalimbali kupita vyanzo hivyo.

Kumbuka ni gharama kutengeza na kuvisafirisha vitu hivyo.


:embarassed2: Tafadhali tumia lugha yenye hekima
 
annabrenda; ni swala la uelewa tu dadaangu na imani yako. Kama anatoa bure ni vizuri ukaenda Scoan kupata ya bure.
 
Last edited by a moderator:
annabrenda; ni swala la uelewa tu dadaangu na imani yako. Kama anatoa bure ni vizuri ukaenda Scoan kupata ya bure.

Mna coordinate safari ngapi kwa mwaka? Mbona kuna ndugu yetu tulimchangia amelipia tangu January mpaka sasa kimya ilhali kila Sunday tunaona flags za Tanzania scoan. Au ndio wanaoenda kupitia Blandina Nyoni na yule mwingine.
 
Last edited by a moderator:
batchu: Huo ni uzushi tu, wala hakuna kitu kama hicho. Na mtusamehe kwa yote yale ambayo kwa namna moja au nyingine tumewakosea.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer: Imagine, ukawa na hayo maji na yakakupa au kukuponya ugonjwa wa kutibiwa kwa mamilioni au kutotibiwa kabisa.

Fikiria na hilo pia.

#Imani yako itakuponya

jibu swali umeacha nyodo zako au bado unazo? unamajibu ya kunya sana, umekosa watu sasa hivi umekuwa mpole.
 
Elli: Mungu ananjia nyingi sana za kuonyesha nguvu zake. Kwahiyo sio kwa kusali au kusoma neno lake unaweza kuziona nguvu hizo. Nitakupa mifano kadhaa:-

1. Mtume Paulo enzi zake alikua akitumia aprons na vitambaa vya mikononi kuponya watu wenye shida mbali mbali. Ni watu wengi walienda kupata bidhaa zake. Lakini tambua...hawakupewa tu bure kwasababu vile vitu vilikua vikinunuliwa kwa gharama.Hapo utaona Mungu anajidhihirisha kupitia vitambaa vya mikono.


2. Mtume Peter, yeye alitumia kivuli chake kuponya watu wenye matatizo. I mean, akiwa kasimama au kukaa ukipita kwenye kivuli chake unakuwa safi kabisa.


3. Yesu pia aliweza kutumia Mate na Udongo kumponya mtu kipofu.

4. Tumeona hata baadhi ya watumishi kwenye Biblia wakitumia mafuta kuwapaka watu.

5. Leo hii, Prophet TB Joshua anatumia sticker na maji kuwaponya watu na kuwatatulia watu wenye shida mbalimbali kupita vyanzo hivyo.

Kumbuka ni gharama kutengeza na kuvisafirisha vitu hivyo.


#Kwanini usiende SCOAN kwa miguu kutoka hapo ulipo kama kila kitu cha Mungu kwako ni bure?..simple!

Hivi ndo mnajifunza siku hizi huko makanisani kwenu kuandika maneno bila rejea ( mistari) au walimu wenu wanatamka tu hawapi mistari?
Hilo kanisa kila siku waumini wanatoa shukurani kwa kutendewa maajabu, na kupata mibaraka ya muungu, hilo fungu la shukurani mkitoa kidogo halitoshi kufanya uijilishaji na uponyaji wenu kuwa huduma badala ya biashara?
Barikiwa mwakilishi
SP
 
Jmn mleta mada ucgeuze business. ...baada ya hyo martha kuw na nyodo za kupindukia malalamiko yalifik scoan na ss kuna coordinator mwngne anaitw Blandina Nyoni so taarifa yko ni ya uzushi na uongo mtupu kuw hamna mwngne anayeandikisha.martha hafai kanisani wla msikitin kwa mnaotak kukufuru jus dare kwnda kujiandikisha kwake mtaleta hp report au mtameza machungu yenu ndan kw ndan.tabia ya martha cna chakuifananisha nacho to be honest.
 
uniq Samahani kwa yote jamani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom